Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Hao ndio wale wabunge walioteuliwa na Magufuli wanataka mwongozo kwa spika wa kujadili Yanga kuifunga Simba.
Nadhani hadhi na heshima ya huu muhimili katika hili bunge inazidi kushuka kila uchwao wabunge wamelifanya bunge kama sehemu ya kufanya mizaha.
Mara walie mara wapige sarakasi mara wapige magoti.
Ni aibu kwa huu muhimili na mwingine ndio huyo anataka mwongozo.
Wabunge kumbuka mnalipwa mamilioni kama mishahara na posho ambazo ni kodi za masikini wa nchi hii ambao wao wanaishi kwa shida.
Nadhani hadhi na heshima ya huu muhimili katika hili bunge inazidi kushuka kila uchwao wabunge wamelifanya bunge kama sehemu ya kufanya mizaha.
Mara walie mara wapige sarakasi mara wapige magoti.
Ni aibu kwa huu muhimili na mwingine ndio huyo anataka mwongozo.
Wabunge kumbuka mnalipwa mamilioni kama mishahara na posho ambazo ni kodi za masikini wa nchi hii ambao wao wanaishi kwa shida.