USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,892
- 22,649
ITV imemtafuta mbunge wa BIHARAMULO MH EZRA CHIWELESA kutoa ufafanuzi wa kibajeti kwa hoja yake bungeni akihoji serkali kutumia asilimia 48 ya bajeti ya WIZARA ya uchukuzi ambayo ni trillion 6+ kwa Mradi mmoja tu wa SGR ya tabora -kigoma pekee kwa bajeti ya mwaka mmoja.
USSR
USSR