Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,063
- 22,755
Huyo ni mwakilishi wa wananchi ndani ya ukumbi wa Bunge na baada ya kauli kama hii hana wasiwasi wowote wa kuwajibishwa na wananchi waliompigia kura. Hiyo ndiyo Tanzania yetu.Hata bajeti hii mimi naunga mkono kwa nidhamu ya woga ndani ya Chama changu cha Mapinduzi, lakini kama si hivyo nisingekubali kabisa.