bhikola
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,130
- 1,660
Picha inajieleza. Haki za watoto ziheshimiwe, komesha ajira za watoto.
Hongera sana Mheshimiwa Msigwa kwa kuwa mfano bora kwenye kilimo
Lakini pia hongera sana kwa kubebesha watoto wenye umri chini ya miaka nane ndoo za lita 20 zilizojaa nyanya
Wewe kama mbunge ulitakiwa uhakikishe hao watoto wanakuwa shule muda huu, lakini unetumia umasikini wao kama nafasi ya kupata cheap labour .
Sio tu unatenda dhambi kama Mchungaji, bali pia ni aibu sana kwa kiongozi kuajiri watoto wadogo kama hawa kukuvunia nyanya zako ingelikua katika nchi zenye taasisi imara mama nchi za dunia ya kwanza Msigwa ungelisema maji mma.
View attachment 438629