T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Hii haijakaa sawa kichwani mwangu. Mbunge anapochunguzwa na kamati inayoongozwa na Wabunge wenzake kwa tuhuma za rushwa inawezekana kweli kamati hiyo kufanyakazi zake kwa uhuru?
Sijui wengine mnalionaje hili? Je kuna haja ya Katiba Mpya kuliangalia hili?. Nini mapendekezo yako?
Sijui wengine mnalionaje hili? Je kuna haja ya Katiba Mpya kuliangalia hili?. Nini mapendekezo yako?