IshaLubuva
JF-Expert Member
- Dec 4, 2008
- 250
- 11
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samweli Sita amenukuliwa na Gazeti la Mwananchi akisema kwamba Mbunge wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania analipwa mshahara mdogo kuliko Mkuu wa Wilaya; Nukuu;
"Alisema mbunge anapata mshahara mdogo kuliko hata mkuu wa wilaya ambaye yuko daraja la LSS6 na "sijui kama anafanya utafiti, lakini alipaswa kuzikataa fedha za mshahara; mbona alikuwa anapokea? Alianza kujenga hoja hii baada ya kuona anataka kugombea urais, Slaa aache ghilba". aliyasema hayo akipinga hoja ya Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dr. W. Slaa. Habari zaidi bofya hapa chini:
Sitta ajitwika zigo la CCM
Kuna ukweli gani juu ya hoja ya Sita?
"Alisema mbunge anapata mshahara mdogo kuliko hata mkuu wa wilaya ambaye yuko daraja la LSS6 na "sijui kama anafanya utafiti, lakini alipaswa kuzikataa fedha za mshahara; mbona alikuwa anapokea? Alianza kujenga hoja hii baada ya kuona anataka kugombea urais, Slaa aache ghilba". aliyasema hayo akipinga hoja ya Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dr. W. Slaa. Habari zaidi bofya hapa chini:
Sitta ajitwika zigo la CCM
Kuna ukweli gani juu ya hoja ya Sita?