"Mbunge Analipwa Mshahara Mdogo Kuliko Mkuu wa Wilaya" by Sita aka SS

IshaLubuva

JF-Expert Member
Dec 4, 2008
250
11
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samweli Sita amenukuliwa na Gazeti la Mwananchi akisema kwamba Mbunge wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania analipwa mshahara mdogo kuliko Mkuu wa Wilaya; Nukuu;

"Alisema mbunge anapata mshahara mdogo kuliko hata mkuu wa wilaya ambaye yuko daraja la LSS6 na "sijui kama anafanya utafiti, lakini alipaswa kuzikataa fedha za mshahara; mbona alikuwa anapokea? Alianza kujenga hoja hii baada ya kuona anataka kugombea urais, Slaa aache ghilba". aliyasema hayo akipinga hoja ya Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dr. W. Slaa. Habari zaidi bofya hapa chini:

Sitta ajitwika zigo la CCM

Kuna ukweli gani juu ya hoja ya Sita?
 
Na wale wabunge ambao ni wakuu wa wilaya na mawaziri hao wanamishahara mingapi? Hili ni danganya toto la CCM tu, ukweli tunao HATUDANGANYIKIIIIIIIIII 2010.
 
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samweli Sita amenukuliwa na Gazeti la Mwananchi akisema kwamba Mbunge wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania analipwa mshahara mdogo kuliko Mkuu wa Wilaya; Nukuu;

"Alisema mbunge anapata mshahara mdogo kuliko hata mkuu wa wilaya ambaye yuko daraja la LSS6 na "sijui kama anafanya utafiti, lakini alipaswa kuzikataa fedha za mshahara; mbona alikuwa anapokea? Alianza kujenga hoja hii baada ya kuona anataka kugombea urais, Slaa aache ghilba". aliyasema hayo akipinga hoja ya Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dr. W. Slaa. Habari zaidi bofya hapa chini:

Sitta ajitwika zigo la CCM

Kuna ukweli gani juu ya hoja ya Sita?

Hii hoja ya Mh Sitta ni ya uongo kudai eti mbunge analipwa milioni 2. Kwa kutumia labour economics mshahara wa mtu hauangaliwi kwa mshahara wake wa juu pasina kujumuisha pia marupurupu yake. Sasa anataka kuniambia tuaachane na marupurupu yake tuangalie mshahara tu hii ni kupotosha uma wa watanzania.

Anaposema mshahara wa mbunge milioni 2 labda tumrudishie maswali haya:-
a: Je huo ni mshahara wote ukijumuisha na marupurupu?
b: Kama sio je tutajuaje kama marupurupu ambayo tunajua mengi hayalipiwi kodi yamejaliziwa kuongezea mapato kwa mshahara mdogo wanaopata wabunge?
c: Tunaomba atuambie wabunge nao wanalipwa marupurupu gani kwa mwezi ili tumjumuishie tujue mshahara wa jumla mbunge ni kiasi gani?
d: Je wanalipa kodi kiasi katika mshahara wao (ukijumuisha marupurupu)?

Tuishie hapo tunamuomba mheshimiwa Sitta atujibu sie wananchi maswali haya sisi JF ndio saizi yake na sio Dr Slaa amwachie aendelee tu na kampeni aje humu atujibu hoja zake watanzania wazione (kama yeye alivyosema kuwa Dr Slaa ni size yake na sio Kikwete aendelee tu na kampeni )
 
Haya ya mishahara hayajaanza leo..alikuwa wapi kujibu hoja hadi sasa..?
SS naye ni walewale 'wateule' wachache..
 
Huyu SS anajaribu kujiweka karibu na kundi la JK, EL na RA ili aweze kupigiwa tena chapuo awe SPIKA, wakati anajua fika Dr. ni Mashine ya Nguvu.

Ama kweli siasa ni unafiki wa hali ya juu. Hivi kweli leo SS eti anajidai yuko against Dr. Slaa!!! wakati yeye mwenyewe amekuwa akimuunga mkono kwenye hoja zake nyingi tu! Asitegemee safari hii pamoja na unafiki wake eti kina RA na EL watamuhurumia na kumuona mwenzao!!! Hivi huyu ndo yule aliyekuwa akijidai ni Spika wa viwango? Shame TO you SS.
 
Sasa unataka akatae mshahara ili muutafune nyie? Anauchukua kisha anaenda kufanyia mambo ya maana jimboni kwake kwa manufaa ya wananchi!!
 
SITA anagombea URAIS?
Sisi tunataka MDAHALO baina ya wagombea wa kiti cha URAIS.

Samahani SS haujafikia level ya Dr. Slaa.

Level yako ukafanye mdahalo na Halima Mdee
 
Huyu SS anajaribu kujiweka karibu na kundi la JK, EL na RA ili aweze kupigiwa tena chapuo awe SPIKA, wakati anajua fika Dr. ni Mashine ya Nguvu.

Ama kweli siasa ni unafiki wa hali ya juu. Hivi kweli leo SS eti anajidai yuko against Dr. Slaa!!! wakati yeye mwenyewe amekuwa akimuunga mkono kwenye hoja zake nyingi tu! Asitegemee safari hii pamoja na unafiki wake eti kina RA na EL watamuhurumia na kumuona mwenzao!!! Hivi huyu ndo yule aliyekuwa akijidai ni Spika wa viwango? Shame TO you SS.

Siku zote tumekuwa tunawaambia hakuna "MPAMBANAJI WA KWELI" kutoka CCM mijitu ikawa inabisha, leo mnaona JK yuko Rombo anasema hakuna kama Mramba, Sitta anasema hakuna kama CCM ya JK, Tujifunze kuwa Mbayuwayu,yaan mtu anakuzuga mpaka anakupa mbinu ya kugundua uongo wake bado tu???? Sitta na JK kama mlikuwa mmesahau waliwekwa na RA na EL kwa pesa za EPA.Watu wakashupaa kwa JK tu, Sitta na JK ni watoto mapacha mama Yao ni EPA ,WAKUNGA NI ROSTAM NA MZEE WA MUNDULI
 
SITA anagombea URAIS?
Sisi tunataka MDAHALO baina ya wagombea wa kiti cha URAIS.

Samahani SS haujafikia level ya Dr. Slaa.

Level yako ukafanye mdahalo na Halima Mdee

Kama anapenda alitaka kushiriki midahalo na wagombea urais, Sitta hakuona wala kusikia wakati fomu za kugombea urais zilipokuwa zikitolea na chama chake mpaka JK akapita bila kupingwa; au ndio aliwaogopa Makamba na Sheikh Yahaya. Its a Shame kwa wanasheria wenzake!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama anapenda alitaka kushiriki midahalo na wagombea urais, Sitta hakuona wala kusikia wakati fomu za kugombea urais zilipokuwa zikitolea na chama chake mpaka JK akapita bila kupingwa; au ndio aliwaogopa Makamba na Sheikh Yahaya. Its a Shame kwa wanasheria wenzake!!!!!!!!!!!!!!!!

Tunamkaribisha atujibu kama hana jibu bora akae kimya tu. SS nadhani ndio wale wale akina makamba na kinana wanataka kumdistract Dr Slaa asiendelee na kutoa sera zake hivyo wanajitahidi kumjibu ili asiendeleee kumwaga sumu huko vijijini ambako bado kuna ukungu wa nini CCM inafanya.
 
For what I know it is not true kwamba mbunge anamshahara mdogo kuliko mkuu wa wilaya, it was equal basic salary 2M, but mbunge yeye alikiuwa na marupurupu mengi, more than DC.
 
Mdondoaji ninavyofahamu mimi mishahara ya Wabunge haikatwi kodi ya mapato.


according to income tax act 2004, ni mshahara wa President of URT na Znz ambayo haikatwi kodi(Exempted), plus gratuity wanazopewa wabunge baada ya kipindi chao cha ubunge(5 yrs).sio salatry zao.
 
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samweli Sita amenukuliwa na Gazeti la Mwananchi akisema kwamba Mbunge wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania analipwa mshahara mdogo kuliko Mkuu wa Wilaya; Nukuu;

"Alisema mbunge anapata mshahara mdogo kuliko hata mkuu wa wilaya ambaye yuko daraja la LSS6 na "sijui kama anafanya utafiti, lakini alipaswa kuzikataa fedha za mshahara; mbona alikuwa anapokea? Alianza kujenga hoja hii baada ya kuona anataka kugombea urais, Slaa aache ghilba". aliyasema hayo akipinga hoja ya Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dr. W. Slaa. Habari zaidi bofya hapa chini:

Sitta ajitwika zigo la CCM

Kuna ukweli gani juu ya hoja ya Sita?

HAHAHA...MIMI NI CCM.. LAKINI MKUU HAPA KACHEMKA!:becky::becky:
 
Utawagundua wanasiasa walijisahau. Hivi kwa nini mbunge ajiliganishe na mkuu wa wilaya.

Kwa nini Sitta asilinganishe mshahara na marupu rupu ya mbunge na watendaji halisi wanatakiwa kuwa frontline zaidi kuboresha maisha ya wananchi

Mshahara na marupurupu ya mbunge ya unatakiwa kuwa chini ya ule wa

  • Mganga Mkuu wa wilaya
  • Afisa Elimu mku wa Wilaya
  • Afisa Kilimo na Mifugo wa wilaya
  • Mhandisi wa wilaya
  • Afisa Polisi Mkuu wa wilaya ( sijui wanaitwaje)
Sitta ajiulize kama yeye kama mbunge anaona ni haki na halali kupokea zaidi ya watendaji hao.
 
- Kama Sitta amedanganya, dawa ni sisi kuweka facts hapa kwa namba zinazoonyesha mshahara wa DC na mshahara wa Mbunge, ama sivyo wenye akiili nyingi watashindwa kutofautisha nani anasema ukweli nani anasema uongo, tutafute nambas kwanza ndio tumjibu Sitta kama alivyosema Chairman Mao " No research, no right to speak" JF we should know better mambo ya kuongea bila FACTS, mpaka tutakapo-prove with numbers maneno haya ya Sitta yanasimama as A FACT!

Respect & Kwaherini Ya Kuonana Tena!


WAZEE WA SAUTI YA UMEME!
 
attachment.php

- Kama Sitta amedanganya, dawa ni sisi kuweka facts hapa kwa namba zinazoonyesha mshahara wa DC na mshahara wa Mbunge, ama sivyo wenye akiili nyingi watashindwa kutofautisha nani anasema ukweli nani anasema uongo, tutafute nambas kwanza ndio tumjibu Sitta kama alivyosema Chairman Mao " No research, no right to speak" JF we should know better mambo ya kuongea bila FACTS, mpaka tutakapo-prove with numbers maneno haya ya Sitta yanasimama as A FACT!

Respect & Kwaherini Ya Kuonana Tena!


WAZEE WA SAUTI YA UMEME!
 
Back
Top Bottom