Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,055
- 92,497
Wabunge kama kibajaji unategemea kuna akili humo ndani?Inaudhi sana, nashindwa kuelewa kwann serikali isifanye biashara za uzalishaji ipate hela waache kutukamua kiasi hiki. Nchi nzima kila kona traffic polisi wanavizia madreva wawanyuke notifications