Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Siasa haipo hivi. Huwa sikubaliani na haya mambo ya kukaza sana.Msiwapokee
Hawa wanatumwa kuja kuwavuruga
Chadema huwa mnakera na huruma zenu wakati mwingine
Kama ameichoka ccm a ahamie ccm b aka act Chadema kumejaa kumeenea kunatosheleza
Nyalandu aliondoka CCM, wamemkaribisha Tena
Lowassa hivyohivyo
Hata Hawa Kama wanarudi basi Ni sawa kabisa