Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,320
- 6,806
Kwa mujibu wagazeti la Mwananchi la leo tar 08/03/10...
Mbunge wa viti maalumu CUF Mh Nuru Awadh wa wilaya ya Tanga mjini aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya kumkashifu raisi Kikwete kuwa; hawezi kuongoza anachekacheka ovyo tu na kutaka sifa za hovyo. Amefutiwa mashitaka bila maelezo ya sababu ya kufuta mashitaka hayo.............
Mbunge wa viti maalumu CUF Mh Nuru Awadh wa wilaya ya Tanga mjini aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya kumkashifu raisi Kikwete kuwa; hawezi kuongoza anachekacheka ovyo tu na kutaka sifa za hovyo. Amefutiwa mashitaka bila maelezo ya sababu ya kufuta mashitaka hayo.............