Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Kwa taarifa zilipo hapa jimbo la Magu mjini mkoani Mwanza ni kwamba mwenyekiti wa Bodi ya pamba wilayani Magu ambae pia ni mbunge wa jimbo la Magu mjini Bw. Festus Limbu,
ambae pia aliwahi kumuibia kura mgombea ubunge kupitia tiketi ya UDP bw. NGONGO SEKE
ktk uchaguzi wa mwaka 2010,
Ni kwamba mbunge wetu huyu amechukua zaid ya shilingi million mia mbili za bodi ya pamba na kulala nazo mbele!
Jmn huyu kweli ni kiongozi anaefaa ?
Source:WANABODI WA BODI YA PAMBA MAGU
ambae pia aliwahi kumuibia kura mgombea ubunge kupitia tiketi ya UDP bw. NGONGO SEKE
ktk uchaguzi wa mwaka 2010,
Ni kwamba mbunge wetu huyu amechukua zaid ya shilingi million mia mbili za bodi ya pamba na kulala nazo mbele!
Jmn huyu kweli ni kiongozi anaefaa ?
Source:WANABODI WA BODI YA PAMBA MAGU