Mbunge ahoji kuhusu maji Ikungi Mashariki. Spika Ndugai asema Jimbo lilitelekezwa na aliyekimbilia Ubelgiji

Mbunge wa Viti Maalum Singida, Aisha Rose amesema Serikali imechimba visima katika Jimbo la Ikungi Mashariki na Ikungi Magharibi lakini havina mtandao wa maji

Kabla ya kupata maelezo ya Naibu Waziri wa Maji, Spika Job Ndugai alimshukuru Mbunge huyo kwa maswali kuhusu Ikungi Mashariki akisema, "Lile Jimbo la yule jamaa aliyekimbilia Ubelgiji lilitelekezwa halina mtu wa kulishughulikia"

Akimjibu Mbunge, Naibu Waziri MaryPrisca Mahundi amesema baada ya kuchimbwa visima, kazi inayofuata ni kuona mtandao unawafikia Wananchi
Huyu jamaa bichwa haliko sawa!! kuna fyuzi zimelegea si bure.... Lissu akikaa kimya vibaya akiongea vibaya - Kwanza we mzee si unaumwa, vaa barakoa shauri yako ni ushauri tu wa bure - sombasomba hataniwagi, kambeba mzobe mzobe shosti wako mwendazake hata muda wa kuaga hakupata - we haya weeee ! endelea kucheza

Mama Samia thibiti hii kitu, itakuharibia regime yako!! hawa watu bila kuwaonya mapema ni wabaya sana - watafanya mambo ya hovyo then wananchi watakulaumu wewe.
 
Kwani mtaturu ni mbunge wa wap?au alikuwa anampiga kijembe kiaina mbunge wa ccm wa Sasa hv spika awe mkweli tu
 
Mbunge wa Viti Maalum Singida, Aisha Rose amesema Serikali imechimba visima katika Jimbo la Ikungi Mashariki na Ikungi Magharibi lakini havina mtandao wa maji

Kabla ya kupata maelezo ya Naibu Waziri wa Maji, Spika Job Ndugai alimshukuru Mbunge huyo kwa maswali kuhusu Ikungi Mashariki akisema, "Lile Jimbo la yule jamaa aliyekimbilia Ubelgiji lilitelekezwa halina mtu wa kulishughulikia"

Akimjibu Mbunge, Naibu Waziri MaryPrisca Mahundi amesema baada ya kuchimbwa visima, kazi inayofuata ni kuona mtandao unawafikia Wananchi
Huyo mgogo sio mzima kabisa .kama sio kichaa cha dawa basi uenda anaaga kwa dharau kipindi chake cha mwisho ubunge au kumfuata mwendazake !!!
 
Mbunge wa Viti Maalum Singida, Aisha Rose amesema Serikali imechimba visima katika Jimbo la Ikungi Mashariki na Ikungi Magharibi lakini havina mtandao wa maji

Kabla ya kupata maelezo ya Naibu Waziri wa Maji, Spika Job Ndugai alimshukuru Mbunge huyo kwa maswali kuhusu Ikungi Mashariki akisema, "Lile Jimbo la yule jamaa aliyekimbilia Ubelgiji lilitelekezwa halina mtu wa kulishughulikia"

Akimjibu Mbunge, Naibu Waziri MaryPrisca Mahundi amesema baada ya kuchimbwa visima, kazi inayofuata ni kuona mtandao unawafikia Wananchi
Huyo mgogo sio mzima kabisa .kama sio kichaa cha dawa za India. basi uenda anaaga kwa dharau kipindi chake cha mwisho ubunge au kumfuata mwendazake !!!
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom