Mbunge ahoji kuhusu maji Ikungi Mashariki. Spika Ndugai asema Jimbo lilitelekezwa na aliyekimbilia Ubelgiji

Lazaro Nyalandu alimgaragaza Tundu Lisu kwenye kura za kamati kuu.!

Huyu mzee wa MIGA ,mwanasheria a Acacia anaaminika na nani sasa kama hadi kamati kuu anashindwa kura??
aisee sipati picha kama hulipwi senti yoyote itakuwa ni uonevu mkubwa.
 
Mbunge wa Viti Maalum Singida, Aisha Rose amesema Serikali imechimba visima katika Jimbo la Ikungi Mashariki na Ikungi Magharibi lakini havina mtandao wa maji

Kabla ya kupata maelezo ya Naibu Waziri wa Maji, Spika Job Ndugai alimshukuru Mbunge huyo kwa maswali kuhusu Ikungi Mashariki akisema, "Lile Jimbo la yule jamaa aliyekimbilia Ubelgiji lilitelekezwa halina mtu wa kulishughulikia"

Akimjibu Mbunge, Naibu Waziri MaryPrisca Mahundi amesema baada ya kuchimbwa visima, kazi inayofuata ni kuona mtandao unawafikia Wananchi
Ni fala tu toka 2017 mpaka Leo miaka 4 kwanini hawajapeleka maji?

Ccm ni laana sana kwa watanzania
 
Mbunge wa Viti Maalum Singida, Aisha Rose amesema Serikali imechimba visima katika Jimbo la Ikungi Mashariki na Ikungi Magharibi lakini havina mtandao wa maji

Kabla ya kupata maelezo ya Naibu Waziri wa Maji, Spika Job Ndugai alimshukuru Mbunge huyo kwa maswali kuhusu Ikungi Mashariki akisema, "Lile Jimbo la yule jamaa aliyekimbilia Ubelgiji lilitelekezwa halina mtu wa kulishughulikia"

Akimjibu Mbunge, Naibu Waziri MaryPrisca Mahundi amesema baada ya kuchimbwa visima, kazi inayofuata ni kuona mtandao unawafikia Wananchi
Kwa hili Mheshimiwa Ndugai hajatumia hekima kabisa. Siku yakimfika yeye halafu watu wakimkebehi asikimbilie kuomba msaada wa Polisi.
 
Lazaro Nyalandu alimgaragaza Tundu Lisu kwenye kura za kamati kuu.!

Huyu mzee wa MIGA ,mwanasheria a Acacia anaaminika na nani sasa kama hadi kamati kuu anashindwa kura??
Huku Ndungai nae akigaragazwa huko ndani ya CCM mpk akampiga gongo la kichwani mshindani wake mpk akazimia.
 
Dah' amewekewa clip hapo Mawinguni ,aliyosema hawezi rudi Ccm, kaishia kugugumia na kusema et alimgalagaza Lisu kamati kwa 100%, huku yeye akipata kura 24 na Lisu 6'
Mzee pumzi imekata ameamua kurudi CCM apate hata uteuzi, kwanini hawakumuuliza why alihamia CHADEMA badala ya kubaki CCM?
 
Lazaro Nyalandu alimgaragaza Tundu Lisu kwenye kura za kamati kuu.!

Huyu mzee wa MIGA ,mwanasheria a Acacia anaaminika na nani sasa kama hadi kamati kuu anashindwa kura??
Marehemu dikiteta magufuli asingeweza kupata kura hata moja mbele ya Membe, kuona hivyo akaamua kumfukuza uanachama, hakuna mwanaccm aliyekuwa anamuamini marehemu dikiteta magufuli ndani ya kamati
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom