beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge wa Viti Maalum Singida, Aisha Rose amesema Serikali imechimba visima katika Jimbo la Ikungi Mashariki na Ikungi Magharibi lakini havina mtandao wa maji.
Kabla ya kupata maelezo ya Naibu Waziri wa Maji, Spika Job Ndugai alimshukuru Mbunge huyo kwa maswali kuhusu Ikungi Mashariki akisema, "Lile Jimbo la yule jamaa aliyekimbilia Ubelgiji lilitelekezwa halina mtu wa kulishughulikia"
Akimjibu Mbunge, Naibu Waziri MaryPrisca Mahundi amesema baada ya kuchimbwa visima, kazi inayofuata ni kuona mtandao unawafikia Wananchi.
Kabla ya kupata maelezo ya Naibu Waziri wa Maji, Spika Job Ndugai alimshukuru Mbunge huyo kwa maswali kuhusu Ikungi Mashariki akisema, "Lile Jimbo la yule jamaa aliyekimbilia Ubelgiji lilitelekezwa halina mtu wa kulishughulikia"
Akimjibu Mbunge, Naibu Waziri MaryPrisca Mahundi amesema baada ya kuchimbwa visima, kazi inayofuata ni kuona mtandao unawafikia Wananchi.