Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
Mbunge wa jimbo la Masasi (CCM) "Mariam Ruben Kasembe" ameamua kuudhihirishia umma ni jinsi gani haelewi umuhimu wa tafiti mbalimbali zinazofanywa nchini kwa kusema kuwa fedha zinazotumiwa kufanya tafiti nchini na taasisi mbalimbali ikiwemo Hakielimu zielekezwe kwenye kutekeleza miradi ya maendeleo na si tafiti hizo kutangazwa kwenye vyombo vya habari eti ZINADHALILISHA SERIKALI.
Hivi kuna mtu au taasisi inayoweza kutatua kimilifu tatizo ambalo halijulikani?
Hivi kuna mtu au taasisi inayoweza kutatua kimilifu tatizo ambalo halijulikani?