siku zote wale wanaotaka mabadiliko ni wale wenye maono na utashi usio wa kinafiki .Marmo na wana CCM kama yeye walishazoea habari za ndio mzeee ...watanzania wa kizazi hiki sio wa jana ! wanataka mabadiliko ! kama hakuna madiliko huwafai ..Ishu sio CCM maana shibuda alisema CCM sio mama yake! Habari ndio hiyo ...Maandalizi 2015 ..Slaa jenga chama usijali .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.