zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,031
- 28,667
Kuna watu mnashangaza sana kma mleta mada ya upinzani ukimeguka lawama ni kwa upinzani kwamba umechoka ila hamuangalii mazingira ya siasa za sasa hapa Tz mnaconclude tu lawama kwa upinzani huongelei demoralization inayofanywa mfano
Kamata kamata upinzani
Kuuawa kwa viongozi mfano mawazo
Kutekwa kma saanane
Kushambuliwa kma lisu
Uchakachuzi wa kura na vipigo juu kma tulizoshuhudia last weekend
Kuzimwa bunge ambayo ilikua platform ya upinzani kujijenga
Kuzuiwa mikutano iliokuwa chanzo kikubwa cha upinzani kupanuka mfano M4C
N.k
Haya yote husemi kuwa yanaleta hofu kwa wapinzani kuhusu 2020 ndio maana wengine wanakata tamaa kujikuta anarudi CCM .... Haya huongelei ila unasema tu hawana mikakati.... Hiyo mikakati unapanga saangapi wakati hta mikutano ya ndani na yenyewe ni kizungumkuti kma kilichomkuta mashinji kule nyasa!!! ???
Ukitaka kulaumu upinzani rudisha privilege zao za zamani alafu upime sio unawafunga minyororo alafu unasema HAWANA STRATEGY hii sio bandiko la kisomi kwa mtu makini kukuelewa
Hapo unasema ETI mikutano business as usual...... Ila hushangazwi magufuli anafanya mikutano kila kukicha!!! Kwanni magufuli husemi naye business as usual kufanya mikutano ila unashangaa upinzani kulilia mikutano
Unapotaka kutoa hoja kuwa neutral ili watu wajifikirishe wenyewe sio unaongelea positive za serikali alafu kwa upinzani unaongelea negative side ... Bandiko linakosa credibility kabisa ndio maana unalalamika wanakuita kuwa umenunuliwa i see the reason why
Kamata kamata upinzani
Kuuawa kwa viongozi mfano mawazo
Kutekwa kma saanane
Kushambuliwa kma lisu
Uchakachuzi wa kura na vipigo juu kma tulizoshuhudia last weekend
Kuzimwa bunge ambayo ilikua platform ya upinzani kujijenga
Kuzuiwa mikutano iliokuwa chanzo kikubwa cha upinzani kupanuka mfano M4C
N.k
Haya yote husemi kuwa yanaleta hofu kwa wapinzani kuhusu 2020 ndio maana wengine wanakata tamaa kujikuta anarudi CCM .... Haya huongelei ila unasema tu hawana mikakati.... Hiyo mikakati unapanga saangapi wakati hta mikutano ya ndani na yenyewe ni kizungumkuti kma kilichomkuta mashinji kule nyasa!!! ???
Ukitaka kulaumu upinzani rudisha privilege zao za zamani alafu upime sio unawafunga minyororo alafu unasema HAWANA STRATEGY hii sio bandiko la kisomi kwa mtu makini kukuelewa
Hapo unasema ETI mikutano business as usual...... Ila hushangazwi magufuli anafanya mikutano kila kukicha!!! Kwanni magufuli husemi naye business as usual kufanya mikutano ila unashangaa upinzani kulilia mikutano
Unapotaka kutoa hoja kuwa neutral ili watu wajifikirishe wenyewe sio unaongelea positive za serikali alafu kwa upinzani unaongelea negative side ... Bandiko linakosa credibility kabisa ndio maana unalalamika wanakuita kuwa umenunuliwa i see the reason why