Mbuga za Tanzania ndani ya UAE

Sisi tunalia hatuna fursa wenye akili kubwa wanatumia fursa zetu kupiga hela wa tz tunalialia serikali haifanyi chochote jee wewe mtanzania wa kawaida umefanya nn
Wewe mzima kweli kwa sera hizi na sheria hizi kila mtanganyika akitaka kutumia fursa serikali huoni inamgonga na nyundo ?
 
Je wanyama kama simba wanaruhusiwa kuwinda katika mbuga ya sharjah ? AU WANALISHWA?

WANATUMIA MAJI gani kurutubsha miche na miti
 
Back
Top Bottom