msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,252
- 2,901
Wewe mzima kweli kwa sera hizi na sheria hizi kila mtanganyika akitaka kutumia fursa serikali huoni inamgonga na nyundo ?Sisi tunalia hatuna fursa wenye akili kubwa wanatumia fursa zetu kupiga hela wa tz tunalialia serikali haifanyi chochote jee wewe mtanzania wa kawaida umefanya nn