Mbuga ya wanyama saadan,embu nisaidieni wana jf.

Kyalow

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,548
2,571
Aman kwenu wana jf popote na muda mlipo,kuna kitu kina nitatizo.katika mbuga ya wanyama ya saadani naskia kuna kijiji kmezungukwa na ile mbuga,watu wanaishi mle na kufanya shughuli zao bila bugudha ingawa kuna simba chui na wanyama wengine hatari kwa binadamu...cha ajabu watu wa kule wanadai sio simba,chui wala wanyama wengine wanao wabugudhi,sasa kwa anaye fahamu sababu naomba anijuze
 
Au ndio mafumbo kama ile ya milio ya gari? fafanua mkuu
 
Aman kwenu wana jf popote na muda mlipo,kuna kitu kina nitatizo.katika mbuga ya wanyama ya saadani naskia kuna kijiji kmezungukwa na ile mbuga,watu wanaishi mle na kufanya shughuli zao bila bugudha ingawa kuna simba chui na wanyama wengine hatari kwa binadamu...cha ajabu watu wa kule wanadai sio simba,chui wala wanyama wengine wanao wabugudhi,sasa kwa anaye fahamu sababu naomba anijuze


gonga hapa The official site of the Tanzania National Parks - Proposed Saadani National Park
 
Back
Top Bottom