mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,696
- 105,686
Povu la nini jamaniiiiIngekua mara ya kwanza kwenu nyie kupata hizi tuzo labda ingekua dili, lakini kutajwa wenye vivutio bora, sio mara ya kwanza, ila kama nilivyosema, haupewi vyote, uchague moja kati ya ubongo na raslimali....dayaspora wa Buza...aka ze ze ze
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app