johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,898
- 141,836
Kitu kimoja ambacho Viongozi wakuu wote wa Upinzani wanakubaliana ni kwamba hayati Magufuli aliimarisha nidhamu ya Watumishi wa Umma na nidhamu ya serikali kwa Wananchi Wote.
Wanapopongeza hili wajue pia Nidhamu haiji kwa kuchekeana bali hutengenezwa kwa mfumo wa kimkakati.
Ni katika kutengeneza Nidhamu ndipo Yesu alipindua meza za Wauza njiwa na Wabadili Fedha pale Hekaluni.
RIP JPM
Wanapopongeza hili wajue pia Nidhamu haiji kwa kuchekeana bali hutengenezwa kwa mfumo wa kimkakati.
Ni katika kutengeneza Nidhamu ndipo Yesu alipindua meza za Wauza njiwa na Wabadili Fedha pale Hekaluni.
RIP JPM