Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Hii ni kauli ya mwenyekiti wa taifa wa chadema mheshimiwa Freeman Mbowe akihojiwa na mwandishi wa channel ten.
Hivyo wabunge wa chadema hawatahudhuria kikao cha bajeti hapo kesho na badala yake wataungana na wana wa arusha kuomboleza na kufariji wafiwa.
Hivyo wabunge wa chadema hawatahudhuria kikao cha bajeti hapo kesho na badala yake wataungana na wana wa arusha kuomboleza na kufariji wafiwa.