MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,415
- 4,881
Mshauri hangaya aache vurugu na uongo.Baada ya Ombi la Zitto Kabwe kwa Rais Samia naamini Rais Samia ni mtu muungwana na mcha Mungu atasikia na kusaidia kuachia na Freman Mbowe kiongozi wa Upinzani Tanzania.
Tukumbuke kuwa Mbowe amekamatwa kwa makosabya Ugaidi hi makosa hatari sana kwa Usalama wa Taifa.
Nawakumbusha Chadema kuwa Mbowe akiachwa muache vurugu.
Pia acheni mipango ya kulipa kisasi na Ugaidi.
Rais Samia hajawafanyia jambo lolote baya hivyo mumuheshimu.
Fanyeni siasa za ustaarabu na kuheshimu mipaka yenu.
Rais Samia ni mcha Mungu na ni mtu wa watu hakika atasikia ombi la Zitto Kabwe anaewakilisha wapinzani.
Chadema acheni uadui na Rais Samia.
Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Kesi ina washitakiwa saba, hakuna aliyehukumiwa, sasa yeye kayatoa wapi ya waliofungwa kwa hukumu ya kesi hii.