Wasubiri mahakama itoe uamuzi, au wamesahau kuwa wamefungua kesi dhidi ya polisi?Matawi yako vijiweni teh teh teh...wamefulia mbaya sana hawa jamaa
Wasubiri mahakama itoe uamuzi, au wamesahau kuwa wamefungua kesi dhidi ya polisi?Matawi yako vijiweni teh teh teh...wamefulia mbaya sana hawa jamaa
****tunaelekea wapi
Kwani matawi yanakaa chumbani Lumumba?Matawi yako vijiweni teh teh teh...wamefulia mbaya sana hawa jamaa
Mbowe anatafuta kiki tu, badala aandamane kupinga ufisadi na ufichaji wa sukari unaofanywa na wahujumu, eti anaandamana kuona bunge live, na kutetea wabunge wasiokuwa na nidhamu! Ajabu!Akihojiwa na ITV mwenyekiti wa chadema amesema kwamba sasa serikali inawazuia kutembelea matawi ya chama
****tunaelekea wapi
Ni kizunguzungu cha uzungushaji mikonoWasubiri mahakama itoe uamuzi, au wamesahau kuwa wamefungua kesi dhidi ya polisi?
Wasubiri mahakama itoe uamuzi, au wamesahau kuwa wamefungua kesi dhidi ya polisi?
Vijiwe mnaviona kama matawi sasaKwani matawi yanakaa chumbani Lumumba?
Anachokifanya ni kutafuna ruzuku tu.Mbowe aache upuuzi abadili aina ya siasa za upinzani hapa nchini.
Siasa za kiki hazitusaidii kama Taifa.
Akubali amepwaya, siasa za huruma na kusumbuana na Polisi zilishapitwa na wakati.
Watanzania tunahitahiji hoja za kitaifa sio kuzurura vijiweni ilimradi kuhalalisha matumizi ya ruzuku ya Chama.
Kwani hiyo Demokrasia lazima ifanyikie Mwanza tu? Aende na Hai au Moshi mjini tutamsikia pia.Nchi ndo imefika huku? Demokrasia inabakwa.
Masizi hayuko nae kabisa, anahojiwa peke yake..!Mkuu, vipi wakai Mbowe anahojiwa na ITV umemuona akiwa na Katibu Mkuu wa Kichina, Vicent Mashinji?
Ha ha ha ha ha ha ha nsenene! Umenikumbusha mbali sana!Hahahaa....hivi mzee mkama yule katibu bado anafuga sharubu?zilikuwa zinasaidia kunasa senene kipindi akija bukoba
We si ulidai Magu amekifunga kitengo cha Buku7 Lumumba! Kakizindua lini tena!!Huu Uzi ni wa wa kuingizia siku kwa waku wa Lumumba fc
#Buku7fc
#√TutafikaTu
Hawaeleweki hawa sasa hivi wamekuwa wanarukaruka tu hawajui washike wapi.....!!We si ulidai Magu amekifunga kitengo cha Buku7 Lumumba! Kakizindua lini tena!!