Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Jeshi la Polisi bado linamhitaji dereva wa Tundu Lissu ili kukamilisha upelelezi. Kwa sababu haiwezekani aendelee kupiga picha na kung’aa vile lakini wanasema ameathirika kisaikolojia,”- IGP Simon Sirro, Mtwara.
Mtanzania
My Take
Hivi huyu dereva angefariki na Lissu naye angefariki wangesubiri wafufuke ndio wafanye uchunguzi au intelejensia yao ikoje?
Mtanzania
My Take
Hivi huyu dereva angefariki na Lissu naye angefariki wangesubiri wafufuke ndio wafanye uchunguzi au intelejensia yao ikoje?