Mbowe: Tumeitikia wito wa kuripoti Polisi lakini hatujui zoezi hili litaisha lini, tumetimiza wajibu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,616
141,447
Mwenyekiti wa CHADEMA mh.Mbowe jana aliripoti kituo cha polisi cha Oysterbay pamoja na watuhumiwa wenzake akiwemo Godbless Lema na Boniface Jacob.

Mbowe aliwaambia waandishi wa habari kuwa wao wametimiza wajibu wao wa kuripoti polisi ila kujua kinachoendelea waulizeni polisi.

Mbowe amesema hajui zoezi hilo la kuripoti polisi litaisha lini.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Daaah! Makamanda wangu Wakuu wamegeuka kuwa Wagambo wa grade F! Kweli Dunia inaenda Kasi sanaa..

#niyeye kakimbilia kuishi uhamishoni kwenye ubalozi wa ujerumani, Kamanda mkuu naye kawa mfanyakazi wa kituo Cha polisi Cha osterbay kuwa anaripoti na Kamanda wa Kanda ya Arusha nae kaikimbia Arusha na kuungana na Kamanda mkuu pale Oster katika zoezi zima la Kazi ya kuripoti.

Makamanda wa JF ndo usiseme hata Ukamanda wa kweye keyboard siku hizi umeisha kabisaa!
Yale maneno ya; "Uwanja umetapika kumsikiliza Rais Ni yeye" Sijui hata yamepotelea Wapi.

Halafu tukisema itatuchukua miaka mingine 50+ kupata upinzani unaojielewa Tanzania bado hamtuelewi.
 
Sio wajinga, ukisoma katiba wana haki ya kuandamana, hakuna kosa kikatiba.
Wee acha tu kuna watu wako kinyumbu. Jana Mungu wao karuka kiapo muhimu cha kusema Nitailinda na kuitunza Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
 
Maandamano yasiyo na kikomo yameishia angani, hawa wajinga walikuwa wanafundishwa kuna serikali na haiendekeze ujinga wao, adabu lazima irudi .
hv ww na Mbowe nani mjinga?ushawaza Mbowe akiamua kutulia na kula raha za dunia ataishi vyema mpk kufa?sasa waza kwann anapigania haya anayopigania
 
Mbowe amesema hajui zoezi hilo la kuripoti polisi litaisha lini.
Aendelee tu kuripoti ndio haki za binadamu hizo anazolilia
kwamba ni sheria kuripoti polisi,wakati jalada lako likisubiri kupelekwa mahakamani au kufutiliwa mbali na Mwanasheria wa serikali
 
Bora hawajachukua uhai wenu, kama ni huo ubunge wacha wauchukue.
 
nilisema mimi humu tutakimbiana yuko wapi erythrocyte aliyekuwa kila siku anaonyesha uwanja ulivyotapika sky eclat kama nawaona walivyokuwa wadogo kama mbegu a mchicha wanaona hayaaaaaaaaa
Wanawaogopa wauaji, tatizo nyie akili fupi sana, mna ushabiki wa kishamba kama vitoto vidogo.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA mh.Mbowe jana aliripoti kituo cha polisi cha Oysterbay pamoja na watuhumiwa wenzake akiwemo Godbless Lema na Boniface Jacob..
Hakuna kikomo cha kuripoti mpaka hapo watakaposema kwanini walitaka wananchi waandamane bila kikomo na yeye alipoti bila kikomo.
 
Ni yeye!
Sijawasikia kipindi kirefu sijui wako wapi
Screenshot_20201104-072503_Facebook.jpeg
 
Back
Top Bottom