BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Wewe naye na kodi! Unachangia kiasi gani kwa mwezi? Hujui Mbowe anawachangisheni ninyi kodi bila kujua? Hivi leo akisema, nyumbu wangu changieni kwenye akaunti a, b, c,....tupate pesa ya kusaidia quarantine ya horohoro mtachanga pesa kibao? Atumie hiyo fursa kusaidia wahanga wa quarantine. Au mnapenda kuchangia mambo ya kijinga tuu?Mbowe ndiye anakusanya Kodi za nchi hii? Hivi huwa mna reason kwa kutumia nini? johnthebaptist,
Sent using Jamii Forums mobile app