Albert Einstein
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 384
- 560
Hii post iliona mbali aiseeeMbowe kuna baadhi ya laana huwa zinafutika bila shaka hata hii ya Dr Slaa anaweza kukusamehe. Kibuli hakilipi, kuwa mdogo, kuwa mnyonge , jishushe muombe msamaha.
Hii post iliona mbali aiseeeMbowe kuna baadhi ya laana huwa zinafutika bila shaka hata hii ya Dr Slaa anaweza kukusamehe. Kibuli hakilipi, kuwa mdogo, kuwa mnyonge , jishushe muombe msamaha.
Mkono alivunjika alipokuwa bafuni na alikiri mwenyewe 2010 acha upotoshajiLeo kwenu Dr Slaa ni kiongozi bora ?!. Alipokuwa Cdm alitukanwa na kudhalilishwa na watawala kwa kubambikiwa vyesi, kuvunjwa mkono n. k. Leo mnamuona nabii ?!
Sahivi CHADEMA iko na hali gani!Mbona mnadata sana, ni uchaguzi au?
Si mmefanya kampeni wenyew kwa miaka 5.
Chadema bado haijafa?
Ndugai nae anatumia nguvu sana
Una la kusema? Ahahahahahahhahaha!Mbona mnadata sana, ni uchaguzi au?
Si mmefanya kampeni wenyew kwa miaka 5.
Chadema bado haijafa?
Ndugai nae anatumia nguvu sana
Kwanu slaa bado yupo sweden?Mbowe kuna baadhi ya laana huwa zinafutika bila shaka hata hii ya Dr Slaa anaweza kukusamehe. Kibuli hakilipi, kuwa mdogo, kuwa mnyonge , jishushe muombe msamaha.
Ukifika mwambie maneno haya "Mzee mwenzangu huu mguu wako, nimetoka Dar es salaam kuja kukuomba msamaha. Nilikuita majina ya ajabu ajabu kama Dr Mihogo n.k, niko chini ya miguu yako. Najua hela ilipita katikati yetu na yote uliyoyajenga kwa zaidi ya miaka 20 kwa jasho na damu mimi nimeyabomoa kwa kasi ya ajabu ndani ya miaka 4. Kwa niaba ya chama naomba tusamehe"
Ni wakati sasa wa kuona mlipokosea na kuomba msamaha ili kurudia ufalme wenu