Mwaka 1995 Mwalimu Nyerere alipoona nguvu ya Mrema ilivokuwa na ombwe lililokuwepo ktk uongozi wa nchi!Aliamua kusimama kidete kunusuru nchi.(sio CCM) na kumpigis Kampeni ya nguvu BWM na hatmaye akawa Rais.
Mwalimu alitumia msemo wa Kingereza tafsiri siwezi kukaa Butiama na kuiacha nchi MIKONONI mwa mbwa(going to dogs)Kila mtu alitafsiri kivyake,wengine walisema alitukana!
Leo hii tunasikia kelele nyingi,kuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA kuwa amekaa Sana ,awaachie na wengine!
Aidha anavunja katiba.
Kinadharia inaweza kuwa kweli!
Lakini katika mazingira ya Siasa za kihunii zilizoendeshwa kwa Miaka 4 sasa Ni ngumu sana Kuwaamini Hawa wema walijiotokeza kuitakia mema CHADEMA kwa kimtaka Mbowe apumzike!
Haya NI machozi ya mamba! Mbowe Shikilia hapohapo huwezi kuwaachia Chama Mbwa!
Mwalimu alitumia msemo wa Kingereza tafsiri siwezi kukaa Butiama na kuiacha nchi MIKONONI mwa mbwa(going to dogs)Kila mtu alitafsiri kivyake,wengine walisema alitukana!
Leo hii tunasikia kelele nyingi,kuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA kuwa amekaa Sana ,awaachie na wengine!
Aidha anavunja katiba.
Kinadharia inaweza kuwa kweli!
Lakini katika mazingira ya Siasa za kihunii zilizoendeshwa kwa Miaka 4 sasa Ni ngumu sana Kuwaamini Hawa wema walijiotokeza kuitakia mema CHADEMA kwa kimtaka Mbowe apumzike!
Haya NI machozi ya mamba! Mbowe Shikilia hapohapo huwezi kuwaachia Chama Mbwa!