Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,216
Chadema hata akija Magufuli kugombea uenyekiti hapati hadi tumpime jee anatosha?Hakuna kama Chadema, niwashangaa sama kama Chadema wangempa mtu kama Sumaye, Hana tofauti na Lowasa.
Ila kwa tabia aliyo nayo yakutokusema ukweli mambo mengi basi haina haja hata kumpima. Uamuzi ni HAFAI