Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 2,580
- 3,383
Anza mikakati ya kutafuta wagombea makini kwa ajili ya udiwani, ubunge na urais. Pia chaguzi za serikali za mitaa.
Msisitizo ni kuwa hii ni wananchi kuikataa hii CCM ya wapiga madili hii ndio iwe hoja kuu.
Wewe binafsi usigombee maana haukubaliki. Tafuta watu makini.
2025 ushindi upo wazi kabisa.
Msisitizo ni kuwa hii ni wananchi kuikataa hii CCM ya wapiga madili hii ndio iwe hoja kuu.
Wewe binafsi usigombee maana haukubaliki. Tafuta watu makini.
2025 ushindi upo wazi kabisa.