Mbowe njia panda! Ama ajiuzulu au CHADEMA isambaratike!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,599
141,415
Mwenyekiti wa Chadema Mbowe anajikuta katika wakati mgumu baada ya ule mpango wake wa kubadili gia angani kufeli.
Ikumbukwe uamuzi wa kumkaribisha Lowassa pale Ufipa ulifanywa na Mbowe peke yake na baafaye kuitaka kamati kuu kubariki uamuzi jambo ambalo Dr Slaa na mkewe walilikataa kabisa.

Kwa sasa ili kuipa uhai Chadema itamlazimu Mbowe kujiuzulu na kubakia kuwa mjumbe wa kamati kuu jambo ambalo ni gumu kulikubali. Wadadisi wanadai ni vema Mbowe ajiuzulu ili nafasi yake ichukuliwe na Sugu au Lisu kabla wawili hao hawajatamani kujiunga na CCM.

Yote kwa yote swali la Dr Slaa limepata jibu.......Lowassa ni liability.
Maendeleo hayana vyama!
 
Yeah, ni muda sasa comrade Mbowe aachie madaraka, his time is up. Ameshindwa, amefeli kabisa. Tukio la kuja kwa ENL, FTS na kuondoka kwa Dr. Slaa inatosha kuonyesha vision mbovu ya Mbowe kwa cdm.

Futseke, aondoke tu!!
 
Mwenyekiti wa Chadema Mbowe anajikuta katika wakati mgumu baada ya ule mpango wake wa kubadili gia angani kufeli.
Ikumbukwe uamuzi wa kumkaribisha Lowassa pale Ufipa ulifanywa na Mbowe peke yake na baafaye kuitaka kamati kuu kubariki uamuzi jambo ambalo Dr Slaa na mkewe walilikataa kabisa.

Kwa sasa ili kuipa uhai Chadema itamlazimu Mbowe kujiuzulu na kubakia kuwa mjumbe wa kamati kuu jambo ambalo ni gumu kulikubali. Wadadisi wanadai ni vema Mbowe ajiuzulu ili nafasi yake ichukuliwe na Sugu au Lisu kabla wawili hao hawajatamani kujiunga na CCM.

Yote kwa yote swali la Dr Slaa limepata jibu.......Lowassa ni liability.
Maendeleo hayana vyama!
Chadema bado imara sana
 
Mwenyekiti wa Chadema Mbowe anajikuta katika wakati mgumu baada ya ule mpango wake wa kubadili gia angani kufeli.
Ikumbukwe uamuzi wa kumkaribisha Lowassa pale Ufipa ulifanywa na Mbowe peke yake na baafaye kuitaka kamati kuu kubariki uamuzi jambo ambalo Dr Slaa na mkewe walilikataa kabisa.

Kwa sasa ili kuipa uhai Chadema itamlazimu Mbowe kujiuzulu na kubakia kuwa mjumbe wa kamati kuu jambo ambalo ni gumu kulikubali. Wadadisi wanadai ni vema Mbowe ajiuzulu ili nafasi yake ichukuliwe na Sugu au Lisu kabla wawili hao hawajatamani kujiunga na CCM.

Yote kwa yote swali la Dr Slaa limepata jibu.......Lowassa ni liability.
Maendeleo hayana vyama!
Sikujua ni mjinga wa kiwango hicho. Tuambie huo usajili mpya wa Lowasa siyo mambo ya CHADEMA na Mbowe.
 
Yeah, ni muda sasa comrade Mbowe aachie madaraka, his time is up. Ameshindwa, amefeli kabisa. Tukio la kuja kwa ENL, FTS na kuondoka kwa Dr. Slaa inatosha kuonyesha vision mbovu ya Mbowe kwa cdm.

Futseke, aondoke tu!!
Mbowe ataondoka kwa ridhaa yetu wanachama tukiamua ila siyo kwa kelele za wajinga waliopo pale lumumba crazy fc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nachokijua ni kimoja tu; Si Lowasa wala Mbowe anayeleteleza upinzani Tz. Upinzani haupo kwa mtu mmoja bali mioyoni mwa watu. Hata huko ccm kwenyewe, upinzani umejaa tele.
Tatizo ni kwamba, sasa hamuoni kuwa ndio mnajipambanua kuwa mafisadi kamili?? Alikuja upinzani hamkuweza kumfanya lolote, sasa karudi zizini, ili awang'ate kisawasawa. Huku joka la makengeza, huku lowasa, mkirudi nyuma hela ya mboga. Dah! Naona ball linaenda vizuri hapo. Mahakama ya mafisadi, Weka kapuni au la sivyo; Tunaweka ball kwapani.
 
Back
Top Bottom