Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,959
- 12,930
Na CCM kwa wingi wao wamefanya nini?Sawa kuongezeka kwao kumemnufaisha nini mtz? Au wakiwa wengi wamefanya jambo gani kubwa tofaut na 2010?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na CCM kwa wingi wao wamefanya nini?Sawa kuongezeka kwao kumemnufaisha nini mtz? Au wakiwa wengi wamefanya jambo gani kubwa tofaut na 2010?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kadi yako ya CHADEMA namba ngapi we mshauri mkuu wa chama.??? Hivi lumumba hakuna story mpaka mtunge za CHADEMA usiku kucha mchana kutwa? What a shame. Mods tafadhali sana hizi post za aina hii haziwezi kuunganishwa? Tupate content tuliyo kuwa tumeizoea huko nyuma? Maana kila post moja inayofuata ni utumbo kama huu!!!!
Mwenyekiti LissuSiasa za Upinzani Afrika hazioani na watu waoga, wote mnajua kuwa Mbowe ni muoga !
Kuna umuhimu kwa wanaoitakia afya ya kisiasa Chadema wafanye ushawishi na kampeni ya kumng'atua Mbowe madarakani
Akiachia Uenyekiti inafaa apewe ujumbe wa kudumu wa kamati kuu ya chama (CC)
Watu kama Kubenea, Lissu, Lwakatare, Kigaila, Meya Jacob wanafaa zaidi katika ile nafasi
Siasa za Upinzani Afrika hazioani na watu waoga, wote mnajua kuwa Mbowe ni muoga !
Kuna umuhimu kwa wanaoitakia afya ya kisiasa Chadema wafanye ushawishi na kampeni ya kumng'atua Mbowe madarakani
Akiachia Uenyekiti inafaa apewe ujumbe wa kudumu wa kamati kuu ya chama (CC)
Watu kama Kubenea, Lissu, Lwakatare, Kigaila, Meya Jacob wanafaa zaidi katika ile nafasi
Mpaka ruzuku ikate nae ndio ataachia kiti.
Kwanini usishitakiwe kwa uchochezi?? Chadema ni mali ya Wanachama na sio hivyo kama unavyofikiria. Wanachama ndio wenye maamuzi na chama chao na sio ninyi waganga njaa wa Lumumba.Nyie endeleeni tu kumkingia kifua sababu mpo kabila/kanda moja
Chama mwakani kwa hali hii sidhani kama kitachukua viti zaidi ya kumi bungeni. Siasa za upinzani Afrika sio za kupooza na woga woga kama alionao Mbowe
Achukue mwingine kijiti ziwepo amsha amsha mpya, simpingi mbowe sababu ya udikteta bali uwepo uongozi mpya ulete mambo mapya
Kwanini usishitakiwe kwa uchochezi?? Chadema ni mali ya Wanachama na sio hivyo kama unavyofikiria. Wanachama ndio wenye maamuzi na chama chao na sio ninyi waganga njaa wa Lumumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upewe wewe ile sheria ya vyama vya siasa haitoshi Ama kweli hamuishiwi ujingaSiasa za Upinzani Afrika hazioani na watu waoga, wote mnajua kuwa Mbowe ni muoga !
Kuna umuhimu kwa wanaoitakia afya ya kisiasa Chadema wafanye ushawishi na kampeni ya kumng'atua Mbowe madarakani
Akiachia Uenyekiti inafaa apewe ujumbe wa kudumu wa kamati kuu ya chama (CC)
Watu kama Kubenea, Lissu, Lwakatare, Kigaila, Meya Jacob wanafaa zaidi katika ile nafasi
Sijui kama unaelewekaSiasa za Upinzani Afrika hazioani na watu waoga, wote mnajua kuwa Mbowe ni muoga !
Kuna umuhimu kwa wanaoitakia afya ya kisiasa Chadema wafanye ushawishi na kampeni ya kumng'atua Mbowe madarakani
Akiachia Uenyekiti inafaa apewe ujumbe wa kudumu wa kamati kuu ya chama (CC)
Watu kama Kubenea, Lissu, Lwakatare, Kigaila, Meya Jacob wanafaa zaidi katika ile nafasi
Watu wa aina hii ndio wanaotumwa na mama zao wakamwambie baba yake ampe talaka
Mimi Mbowe sina nasaba naye kwa kikabila, kikanda, kidini wala kirangi, lakini statistically kuna improvement kila uchaguzi ukifanywa kwa mimi hicho ndio kigezo cha kuaminika kuliko kelele za debe tupu. Unless kama unasema Dar nayo imetawaliwa na Wachaga!Shauri yenu , ukabila/kanda vinadidimiza chama
Wengi walionishambulia kwenye hii thread ni kwa sababu huyo mwenyekiti ni mwenzao either kikabila au kikanda