Hizi ni ahadi za mtu asiyefikiria mbali. Ukilinganisha hotuba ya Zitto aliyotoa kwa waTanzania wa USA na haya maneno ya Mbowe, unashangaa kabisa kwa nini bado yeye Mbowe ni mwenyekiti wa CDM. Hivi ni kwa nini watu wenye sifa bora zaidi wasipewe kukiongoza CHADEMA especially sasa hivi CCM inapoyumba-yumba?
Ndio ni dume la mbegu huoni CCM wanavyozipata mpaka wanatuzalia vitoto kama CUF na NCCR
Viapo vingine ni vya kisiasa zaidi kuliko viapo vya kweli.
unajua aliko toka na hiki chama ndiyo ilikuwa shida kuliko anakoenda..Chadema chama tawala kuanzaia 2015....Mbowe kaona mbali jinsi ya kujitoa kwenye siasa katumia njia ya kisomi zaidi...kachoka na Chadema anataka kupumzika.
Hivi kwanini kichwa panzi kilicho jaa maji ya nazi amepewa kuongoza CCM.Hizi ni ahadi za mtu asiyefikiria mbali. Ukilinganisha hotuba ya Zitto aliyotoa kwa waTanzania wa USA na haya maneno ya Mbowe, unashangaa kabisa kwa nini bado yeye Mbowe ni mwenyekiti wa CDM. Hivi ni kwa nini watu wenye sifa bora zaidi wasipewe kukiongoza CHADEMA especially sasa hivi CCM inapoyumba-yumba?
Mbowe anajiamini sana, ameshaona hakuna cha kuzuia ushindi wa cdm. Viva chadema, viva Kamanda Mbowewanataongea na kuwapandisha hasira wa tz ili waichukie ccm,tutafanya kazi kwa bidii kuijenga nchi yetu kwa maoni ya wote pamaoja na wao.wakat wakupiga kampen umepita,barabara,hosp,shule ,umeme na maji vipaumbele vya msingi.
Kusini yote ni ya CHADEMA hilo halina ubishi hata Yule mlemavu wa ngozi jimbo lake tunachukua namuomba sana asitumie ulemavu Kama Kinga (naomba mnisamehe sina nia ya kumkosoa Mungu ila tunataka jimbo tu basi)
Nani mmiliki wa Masasi?mbowe anza kupaki kilicho chako... masasi ina wenyewe
MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amesema moto uliowashwa na chama hicho katika Operesheni Sangara utaendelea nchi nzima, lengo likiwa ni kuiondoa CCM madarakani na iwapo itasalimika mwaka 2015, atajiuzulu siasa.
.....Je, 2015 wanakuja tena kutuomba kura huyo atakayekuja si ndiyo itakuwa mbaya zaidi, Chadema hatuwezi kukubali na moto huu tuliowasha utaendelea nchi nzima hadi Uchaguzi Mkuu wa 2015 na kama CCM itasalimika nitajiuzulu siasa.
Hakuna mwenye uwezo wa kumg'ang'ania Ikulu kama wananchi wakisema hatukutaki na kuna kila ishara za kusema CCM basi na kwa taarifa yako kukitokea mwendawazimu hata leo akanzisha vuguvugu la kuitoa CCM hata kabla ya 2015 mnatoka wananchi wako tayari maana kila kukicha ni afadhari ya jana......Malanyingi Matukuta Mfuasi wa Chedema unajificha ww tena kumbuka mtumishi wa Mungu upaswi kuogopa kuonesha hisia zako kuliko kusengenya.
Mbona wachungaji wa watumishi wengi wa dini wameingia na kujionesha kwenye siasa iwe CCM au Upinzani??
Ila huyu Mbowe atarudi tu kwenye kazi yake ya Udj pale Billicanas cz ww na yy msitegemee CCM kuondoka Madaraka 2015
hivi hela wanazopata kwenye korosho na gas mtwara zinaendaga wapi
hivi hela wanazopata kwenye korosho na gas mtwara zinaendaga wapi