BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Samia hana nia ya dhati kabisa kupambana na corona ukiangalia mienendo yake
Yaani unakusanya watu morogoro na kuwaambia wasikusanyike?
Kama ni ujinga basi huu ni ujinga kiwango cha PhD
Huyu na magu nani mwenye nia ya dhati kupambana na corona? Na nani raisi wa wanyonge kama sio huyu mama! Magu amezuia chanjo, na kuidharau corona mkamsema sana, na wengine walimpongeza na kuamini corona ameikomesha....ni upuuzi mtupu wa kuamini corona haipo wakati takwimu zenyewe hazitolewi!
Huyu mama anajitahidi kupambana na hili janga na kuwaletea chanjo ili kila mtu apate kwa hiari yake na sio lazima....sasa wewe unasema hana nia ya dhati 😄 watanzania bwana!