Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,664
- 22,256
Kwa taarifa tu mleta mada ni hivi juzi tu katoka kwenye tiba ya Methadoni huko Tanga.
Kanuni ya kiroho inafanya kazi: Tanzania tulishaponywa corona na Mungu baada ya kumtanguliza Mungu na kumwomba na akàtuponya. Lakini wapo wanaoukataa ukweli huu akaiwemo Mbowe. Kwa kukataa kwao wameifungulia mlango corona kwenye maisha yao na kwenye familia zao!! Hizo chanjo na barakoa anazozitumainia hàzitamwokoà! Kuna roho chafu ya mauti nyuma ya corona ambayo huwezi kuizuià kwa chanjo wala barakoa wala social distancing wala lockdown! Wanaobeza uponyaji wa Mungu kwa Tanzania kuhusu corona jiandàeni!! Ni toba tu itakayowaponya!! Waanaoamini na kikiri hadharani kuwa Mungu ametuponya na corona mtabaki salamà!!Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Asante sana kwa matusi yako lakini yatakurudia mwenyewe na hutapumuaUjinga wako upeleke huko FB mnashusha credibility ya JF. Sasa mtu upo JF mwaka mmoja tu ila kujifanya mjuaji ndio madhara yake....
JF ya 2008-12 ilikua ni kisima cha facts na great thinkers. Kama hauna facts lazima u comment?
Pitia mitandao kma Quora au Reddit then uone kma unaweza post ujinga kama huu!! U just get downvoted na post inafutwa kma sio fact.
Umenikera mnoo ssa CHADEMA inanufaika nini Covid 19 ikiwepo? Kwamba wao ndio hawataweza kufa? Mimi ni CHADEMA damu lakini Covid 19 ilipiga familia yetu ile February ssa leo hii ikirudi tufurahi ili iweje??
You're such a c*nt tbh
Kijogoo D najua nguvu unazo were pigakazi,archana na mambo ya hisani yanapoteza uwezo wa akili na uhuru wa mawazo na haki zamsingi.Unapata faida gani kutetea ujinga?