Magembe sociable
JF-Expert Member
- Jul 10, 2021
- 213
- 352
Kesi ya Mbowe mashahidi upande wa serikali wapo 24 Kati ya hai 21 Ni polisi,yaani hata Kama hujawahi kuhudhuria kesi mahakamani utajua kabisa Ni kesi ya kihuni tangu dunia inaumbwa.
SawaHuyo basi siyo Askari,hadi anasemea pembeni,Sasa anaogopa nini kwenda kusema hayo Mahakamani!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ndo nimeingia Tengeru saa8 usiku saivi naulizia nyumba ya wazazi nshajipanga kabisa SITOI MAHARI maana ishalipwaEti miamba....yaani unamuona Sabaya mwamba? mtu anayejitetea asifungwe kwa sababu ndiyo kwanza ametoa mahari ? Hata kujitetea hawezi
Uko sahihi kabisa. Sabaya hata wananchi walishamhukumu kabla ya mahakama (kama ulimsikia yule bibi na wengine wengi). Ukisikiliza maoni ya wananchi juu ya kesi ya Mbowe, unapata majibu.Natoa tu angalizo kwa wale wanaodhani eti Freeman Mbowe atafungwa ili kubalance equation kati yake na Ole sabaya.
Niwakumbushe tu kuwa hizi ni kesi mbili tofauti kabisa na hata hadhi za Washtakiwa, Mawakili na Mahakama ni tofauti kabisa.
Kesi ya Mbowe ni ya kitaifa lakini imebeba sura ya kimataifa kwa sababu inafuatiliwa na dunia kwa kupitia balozi mbalimbali.
Kesi ya Sabaya ilikuwa ya kimkoa lakini ilibeba sura ya kiwilaya na ndio maana mahakama ya wilaya walikuwa wanajazana Wamasai na Wameru haikuwavutia hata jirani zetu Kenya.
Ya Ole sabaya yameshakamilika.
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Mkuu nadhani si sahihi kuwalinganisha kuanzia kihadhi mpaka aina ya majukumu waliyokuwa nayo hawa watajwa. Nachelea kusema kuwa Sabaya si mwamba bali Freeman Mbowe hakika ni mwamba na case yake dunia ya kidemokrasia inaifuatilia.Kwa yaliyompata Sabaya, Mbowe ajiandae kisaikolojia, lolote linaweza kutokea....
Mara paaaaaàp miamba miwili inakuta Mbowe na Sabaya...
Acha kukaza hilo chuma hapo juu ya shingo, mbowe lazima auone moto.
Na majambazi na wale mademu wa group sexKesi ya Mbowe wanajaa mabalozi kesi ya Sabaya wanajaa wamasai🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
acha upumbavu we mtu mzima vyo MHALIFU NI MHALFU TU hamna statusNatoa tu angalizo kwa wale wanaodhani eti Freeman Mbowe atafungwa ili kubalance equation kati yake na Ole sabaya.
Niwakumbushe tu kuwa hizi ni kesi mbili tofauti kabisa na hata hadhi za Washtakiwa, Mawakili na Mahakama ni tofauti kabisa.
Kesi ya Mbowe ni ya kitaifa lakini imebeba sura ya kimataifa kwa sababu inafuatiliwa na dunia kwa kupitia balozi mbalimbali.
Kesi ya Sabaya ilikuwa ya kimkoa lakini ilibeba sura ya kiwilaya na ndio maana mahakama ya wilaya walikuwa wanajazana Wamasai na Wameru haikuwavutia hata jirani zetu Kenya.
Ya Ole sabaya yameshakamilika.
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Acha kumfananisha Mbowe na hiyo takatakaKwa yaliyompata Sabaya, Mbowe ajiandae kisaikolojia, lolote linaweza kutokea....
Mara paaaaaàp miamba miwili inakuta Mbowe na Sabaya...
Manka umefura?!acha upumbavu we mtu mzima vyo MHALIFU NI MHALFU TU hamna status
Miamba nadhani ni neno lenye maana nyingi ikiwemo umaarufu. Kushindwa kujitetea haiondoi Umwamba wake, mbona ipo Miamba kibao haiwezi kutongoza mwanamke lakini bado unawaona ni miamba.Eti miamba....yaani unamuona Sabaya mwamba? mtu anayejitetea asifungwe kwa sababu ndiyo kwanza ametoa mahari ? Hata kujitetea hawezi
Neno Mwamba lina maana nyingi ikiwemo umaarufu halafu wote wanasiasa. Wapi nimekosea kuwafananisha?Mkuu nadhani si sahihi kuwalinganisha kuanzia kihadhi mpaka aina ya majukumu waliyokuwa nayo hawa watajwa. Nachelea kusema kuwa Sabaya si mwamba bali Freeman Mbowe hakika ni mwamba na case yake dunia ya kidemokrasia inaifuatilia.
Natoa tu angalizo kwa wale wanaodhani eti Freeman Mbowe atafungwa ili kubalance equation kati yake na Ole sabaya.
Niwakumbushe tu kuwa hizi ni kesi mbili tofauti kabisa na hata hadhi za Washtakiwa, Mawakili na Mahakama ni tofauti kabisa.
Kesi ya Mbowe ni ya kitaifa lakini imebeba sura ya kimataifa kwa sababu inafuatiliwa na dunia kwa kupitia balozi mbalimbali.
Kesi ya Sabaya ilikuwa ya kimkoa lakini ilibeba sura ya kiwilaya na ndio maana mahakama ya wilaya walikuwa wanajazana Wamasai na Wameru haikuwavutia hata jirani zetu Kenya.
Ya Ole sabaya yameshakamilika.
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Hahahaaaa.......!Mkuu huwa kuna taarifa za dish lako kuyumba yumba kwa nyakati fulani fulani. Naomba kukuthibitishia leo liko timamu 😁😁.
Waambie UVCCM wenzako ndugu.Hahahaaaa....... Siasa siyo uadui bwashee!
kwa tafsiri ya kwenu. kwa tafsiri ya ulimwengu mwamba inaanisha shujaaMiamba nadhani ni neno lenye maana nyingi ikiwemo umaarufu. Kushindwa kujitetea haiondoi Umwamba wake, mbona ipo Miamba kibao haiwezi kutongoza mwanamke lakini bado unawaona ni miamba.
Shujaa vs Maarufu = Ulimwengukwa tafsiri ya kwenu. kwa tafsiri ya ulimwengu mwamba inaanisha shujaa
Kwani mahakamani wanaenda wote wanaojisikia????Huyo basi siyo Askari,hadi anasemea pembeni,Sasa anaogopa nini kwenda kusema hayo Mahakamani!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
WajaribuKwa yaliyompata Sabaya, Mbowe ajiandae kisaikolojia, lolote linaweza kutokea....
Mara paaaaaàp miamba miwili inakuta Mbowe na Sabaya...