mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Ndiyo maana kambare havuliwi kirahisi, iwapo kweli unamjua.Vijana wa cdm wanatumia akili na busara nyingi kuliko nyinyi uvccm ambao kila mtu kwenu anasharubu kama nyumba ya kambale
In God we Trust
Mmawia, hoja gani ya kitaifa vijana wa CHADEMA wameitetea ikakubalika, zaidi ya kuoneshana ubingwa wa matusi?