Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni.
Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu
Kiongozi anayefikiria masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana
Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.
Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.
Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.
Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu
Kiongozi anayefikiria masuala ya kuleta maendeleo kwa kuzingatia kanda na ukabila huyu ni kiongozi mbaya sana
Taifa la Tanzania naturally halina ukabila na Ukanda na kiongozi anayepandikiza chuki na za namna hii hafai hata kidogo.
Taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi aliyebagua watu ili kuwapelekea maendeleo.
Huu ndio wakati wa kumchambua Mbowe na Chadema yake kuwa hafai kabisa.