residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Pamoja na kuwa na akili za kimasikini.Ndugai kinachomtesa ni kuzaliwa kwenye jamii maskini
Pamoja na kuwa na akili za kimasikini.Ndugai kinachomtesa ni kuzaliwa kwenye jamii maskini
Hahahaaaa.......atazamavyo Mungu siyo kama wanadamu!@johnthebaptist unajua unaweza usiingie mbinguni kwa kuwa upo upande huo!!??
Sawa, lakini huwezi ukashirikiana na wauaji, huku unajua kabisa wafanyacho, ukala na kulala nao halafu wewe ukasema huhusiki na uuwaji wao.Hahahaaaa.......atazamavyo Mungu siyo kama wanadamu!
surePamoja na kuwa na akili za kimasikini.
Kichuguu?Hapana.Job ni mkusanyiko wa mchanga laini wa pwani bakuli nne.Jenerali ni Mlima, Ndigai Ni kichuguu
hahahahaKichuguu?Hapana.Job ni mkusanyiko wa mchanga laini wa pwani bakuli nne.
Ukweli mtupuSawa, lakini huwezi ukashirikiana na wauaji, huku unajua kabisa wafanyacho, ukala na kulala nao halafu wewe ukasema huhusiki na uuwaji wao.