kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,051
- 15,884
Tuchukue nafasi kumpongeza mwenyekiti wa chadema kwa kuamua kujiondoa kwenye chaguzi ndogo za marudio japo anavaa joho la ukawa lakini tunajua ukawa haipo siku nyingi
Mbowe apongezwe hapa kwa kuamua kuepusha gharama za chama katika kampeni ,japo pesa hizo si zao ila ni faida watazitumia kwa kazi nyingine ya kujenga chama
Mbowe ni kiongozi mwenye kuona mbali baada ya kugundua hawana cha kuwaambia wananchi katika kampeni, yote wanayotaka kuyasema yameshafanywa na rais pombe magufuli kwa kutekeleza ilani ya ccm
Kama ni rushwa Takukuru inafanya kazi kweli kweli mpaka walio ndani ya ccm wanaisoma namba,sekta zote zinasimamiwa kwa ufanithi,kilichobaki labda ni kwenda kumshambulia rais kwa mambo yake binafsi na hapa ndipo wanapobanwa wakasema demkrasia inaminywa .
Sababu wanataka kusimama mpaka saa moja usiku kinyume cha sheria,wakishushwa majukwaani wahuni walioandaliwa huvamia polisi nao polisi wakitaka kuwadhibiti wahuni hao wakiwa na sare za chama hulalamika wamepigwa na dola na wanaminywa uhuru wa kuongea
Tumpongeze mbowe wametumia haki kususia ,hayo marekibisho hakuna sababu hakuna mapungufu
Na mbaya zaidi hakuna la kusema lile neno kipaumbele cha chama si ufisadi linawamaliza!
Tetemeko la kata 42 bado linawatisha!
Mbowe apongezwe hapa kwa kuamua kuepusha gharama za chama katika kampeni ,japo pesa hizo si zao ila ni faida watazitumia kwa kazi nyingine ya kujenga chama
Mbowe ni kiongozi mwenye kuona mbali baada ya kugundua hawana cha kuwaambia wananchi katika kampeni, yote wanayotaka kuyasema yameshafanywa na rais pombe magufuli kwa kutekeleza ilani ya ccm
Kama ni rushwa Takukuru inafanya kazi kweli kweli mpaka walio ndani ya ccm wanaisoma namba,sekta zote zinasimamiwa kwa ufanithi,kilichobaki labda ni kwenda kumshambulia rais kwa mambo yake binafsi na hapa ndipo wanapobanwa wakasema demkrasia inaminywa .
Sababu wanataka kusimama mpaka saa moja usiku kinyume cha sheria,wakishushwa majukwaani wahuni walioandaliwa huvamia polisi nao polisi wakitaka kuwadhibiti wahuni hao wakiwa na sare za chama hulalamika wamepigwa na dola na wanaminywa uhuru wa kuongea
Tumpongeze mbowe wametumia haki kususia ,hayo marekibisho hakuna sababu hakuna mapungufu
Na mbaya zaidi hakuna la kusema lile neno kipaumbele cha chama si ufisadi linawamaliza!
Tetemeko la kata 42 bado linawatisha!