USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,895
- 22,659
Hii ndio mara ya kwanza KUB kuondoka wa aibu kubwa maana waliomtagulia wote hawakuwa na kashfa kubwa kama hizi ambazo wengi wansema sio tu kupata tuhumu bali pia kuna uchunguzi unafanywa hivyo ataanza kuhudhuria kesi ambazo mwanzo ndio alizipigania ziondoke katika jamii
Ma KUB walimtagulia hawakupatwa na haya mbayo hata tu kutuhumia kwake ni najisi Kabisa hata kama hatakutwa na hatia itakuwa laana kwa nafasi hiyo muhimu bungeni kwa wapinzani ,mfano mtu kama lwakatale alikuwa KUB bora na hata wananchi wa bukoba wakampigia kura tena alipohama chama.
Unyanyasaji wa kigono,rushwa na matumizi mabaya ya pesa za wenzake zinaonesha kuwa mbowe alipigania kitu ambacho hakukiishi kabisa.
USSR
Ma KUB walimtagulia hawakupatwa na haya mbayo hata tu kutuhumia kwake ni najisi Kabisa hata kama hatakutwa na hatia itakuwa laana kwa nafasi hiyo muhimu bungeni kwa wapinzani ,mfano mtu kama lwakatale alikuwa KUB bora na hata wananchi wa bukoba wakampigia kura tena alipohama chama.
Unyanyasaji wa kigono,rushwa na matumizi mabaya ya pesa za wenzake zinaonesha kuwa mbowe alipigania kitu ambacho hakukiishi kabisa.
USSR