Mbowe na wenzake 3, wanasubiri kumkataa Jaji Tiganga asiendelee na kesi ya ugaidi inayowakabili?

Tulieni dawa iwaingie kenge nyinyi ,kwa Sabaya mlishangilia sana.
Malipo ni hapa hapa duniani.
Kenge familia yenu!

Huyo jangili, jambazi sabaya ambaye hata CCTV camera zilimnasa kwenye 18 akifanya matukio ya kiahalifu utalinganisha na ushahidi wa kubumba uliotungwa kudhoofu familia za makomandoo na Mbowe!!

Onesha udhuhirisho wa kiteknolojia Kama vile CCTV video record au hata mawasiliano ya simu yalivyodhihirisha mipango ya hawa jamaa walikua wakijadili mambo ya kigaidi!!

Kwa nn mkwepe CCTV record, na phone calling records badala yake mnaleta record ya muamala wa laki 6 eti ndiyo kiasi cha fedha kilichopangwa kufanyia ugaidi!!
 
Ni dhahir shahiri kuwa hata mtoto mdogo ukimpeleka mahakama ya uhujumu uchumi, kusikiliza kesi inayoendelea inayowakabili mheshimiwa Mbowe na wenzake watatu, atagundua kuwa Jaji Tiganga amelalia upande mmoja!

Kifupi, katika case ndogo ndani ya case kubwa ya msingi inayoendelea, Kuna mambo ambayo yanafanywa na jaji ambayo yanafikirisha sana'

Mathalani, Jaji Tiganga kuraise dought kwa mshtakiwa kuwa anasaidiwa majibu na kujisahaulisha kuwa wale mawakili wa serikali walioingia na vijiti mahakamani wakichokonoa meno yao walitarajiwa kuwa na shahidi mwingine katika kesi hiyo ndogo na unexpectedly wakaja na surprise kuwa wamefunga ushahid katika shauri hili dogo na ndipo wakili wa utetezi wakaona ni busara kuitumia fursa kuendelea na kesi kuliko kuharibu muda, jaji Bila aibu akakurupuka bila kujiuliza maswali kwanza!!

Pili, Jaji Tiganga, ameoneka kuwa msaada mkubwa kwa upande was mawakili wa jamuhuri, akiwakumbusha na kuingilia kati kuwakosoa mawakili wa utetezi bila aibu!

Tatu, Jaji aliyeonekana kutoridhishwa na kauli ya wakili wa utetezi siku (chache zimepita) aliyetumia lugha '" kushtakiwa kwa uongo"' Leo kashindwa kucontrol na kukemea tabia iliyooneshwa wazi wazi na mawakili wanaojiita wasomi wa jamhuri kutumia lugha ya kudhalilisha, lugha chafu na lugha ya kuchukiza mbele ya mahakama!

Katika mazingira haya, je, mawakili wa utetezi, na washtakiwa wote kwa ujumla wanamwaminije huyu jaji??

Kwa nin wameshndwa kuonesha kutokuwa na iman naye kabla kesi haijafika mbali??

Ushauri wangu; bila kumung'unya maneno Kuna sintofaham na huyu Jaji, nashauri washtakiwa kumkataa, na kila jaji akija na mambo ya ajabu Kama hayo wamkatae, hata Kama majaji Tanzania yote wakiisha kwa kukataliwa sawa tu, ni bora aje jaji tofaut kabisa kutoka nchi zinginezo hko kuliko hawa wa kimkakati!!
Nionavyo Mimi kesi ilifunguliwa ili vuguvugu la kudai katiba mpya lisiendelee.
Kumkataa jaji ni kuzidi kuchelewesha mabadiliko yanayokusudiwa,Bora hukumu itolewe haraka wakate rufaa,; na nina imani mhimili wa kutoa haki haitakubali kuinajisi mahakama,aibu ibaki kwa majaji wa mchongo
 
Nionavyo Mimi kesi ilifunguliwa ili vuguvugu la kudai katiba mpya lisiendelee.
Kumkataa jaji ni kuzidi kuchelewesha mabadiliko yanayokusudiwa,Bora hukumu itolewe haraka wakate rufaa,; na nina imani mhimili wa kutoa haki haitakubali kuinajisi mahakama,aibu ibaki kwa majaji wa mchongo
Ni kweli kabisa, hii case Jamhuri vs Mbowe na wenzake 3, ina mlengo wa kudhoofu mchakato wa katiba mpya!

Ila kwa mahakama hizi zenye majaji wa mchongo wanaoijionesha waziwazi, si rufaa nayo itakuwa ni kazi bure!!
 
Ni dhahir shahiri kuwa hata mtoto mdogo ukimpeleka mahakama ya uhujumu uchumi, kusikiliza kesi inayoendelea inayowakabili mheshimiwa Mbowe na wenzake watatu, atagundua kuwa Jaji Tiganga amelalia upande mmoja!

Kifupi, katika case ndogo ndani ya case kubwa ya msingi inayoendelea, Kuna mambo ambayo yanafanywa na jaji ambayo yanafikirisha sana'

Mathalani, Jaji Tiganga kuraise dought kwa mshtakiwa kuwa anasaidiwa majibu na kujisahaulisha kuwa wale mawakili wa serikali walioingia na vijiti mahakamani wakichokonoa meno yao walitarajiwa kuwa na shahidi mwingine katika kesi hiyo ndogo na unexpectedly wakaja na surprise kuwa wamefunga ushahid katika shauri hili dogo na ndipo wakili wa utetezi wakaona ni busara kuitumia fursa kuendelea na kesi kuliko kuharibu muda, jaji Bila aibu akakurupuka bila kujiuliza maswali kwanza!!

Pili, Jaji Tiganga, ameoneka kuwa msaada mkubwa kwa upande was mawakili wa jamuhuri, akiwakumbusha na kuingilia kati kuwakosoa mawakili wa utetezi bila aibu!

Tatu, Jaji aliyeonekana kutoridhishwa na kauli ya wakili wa utetezi siku (chache zimepita) aliyetumia lugha '" kushtakiwa kwa uongo"' Leo kashindwa kucontrol na kukemea tabia iliyooneshwa wazi wazi na mawakili wanaojiita wasomi wa jamhuri kutumia lugha ya kudhalilisha, lugha chafu na lugha ya kuchukiza mbele ya mahakama!

Katika mazingira haya, je, mawakili wa utetezi, na washtakiwa wote kwa ujumla wanamwaminije huyu jaji??

Kwa nin wameshndwa kuonesha kutokuwa na iman naye kabla kesi haijafika mbali??

Ushauri wangu; bila kumung'unya maneno Kuna sintofaham na huyu Jaji, nashauri washtakiwa kumkataa, na kila jaji akija na mambo ya ajabu Kama hayo wamkatae, hata Kama majaji Tanzania yote wakiisha kwa kukataliwa sawa tu, ni bora aje jaji tofaut kabisa kutoka nchi zinginezo hko kuliko hawa wa kimkakati!!
Yani sijui nisemeje lakini kwa kesi za namna hii ili uone haki imetendeka sheria ingetoa mwanya kesi za aina hii zingekuwa zinasikilizwa na majaji wa commonwealth /inchi nyingine ie judge wa Kenya anakuja sikiliza
 
Yani sijui nisemeje lakini kwa kesi za namna hii ili uone haki imetendeka sheria ingetoa mwanya kesi za aina hii zingekuwa zinasikilizwa na majaji wa commonwealth /inchi nyingine ie judge wa Kenya anakuja sikiliza

Wewe Unaweza kwenda kusikiliza kesi za kenya.
 
Yani sijui nisemeje lakini kwa kesi za namna hii ili uone haki imetendeka sheria ingetoa mwanya kesi za aina hii zingekuwa zinasikilizwa na majaji wa commonwealth /inchi nyingine ie judge wa Kenya anakuja sikiliza
Washtakiwa wataendelea kuwa rumande chini ya Magereza mpaka tarehe 04 March 2022 watakapoanza kujitetea, Baada ya maneno hayo naahirisha shauri hili,

Jaji anatoka nje ya chumba cha Mahakama
 
Nyerere alikuwa sahihi kabisa kusema kuwa, kazi ya kuhukumu siyo kazi inayoweza kufanywa na kila mtu. Bahati mbaya CCM wameinajisi kazi ya uhakimu.
 
Back
Top Bottom