Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,919
- 8,609
Maamuzi madogo au hukumu za kesi kama hii, lazima zielezewe vizuri kwa wananchi ili wajenge Imani na mahakama vinginevyo tutajenga kizazi kinachofikiria kuwa hata maamuzi ya mahakama ni kama kamari.
Acha tujipe muda...
Hii Common sense ya Majaji watu wanaona inaendeshwa na watawala.