CCM wanafikiri kumfuanga Mbowe kifungo kirefu ndiyo watapumua Suala la katiba mpya...wanafikiri wataitawala nchi hii milele...maweee!!

Unapoambiwa una kesi ya kujibu lesi ambayo haipo basi fahamu kwamba washapanga hadi hukumu itakavyokuwa.
Mbowe sio TZ ndugu,hata zamani tuliaminishwa kwamba bila Nyerere nchi itayumba,Ila mpaka saivi mambo Yao Sawa, watzania wapo wengi Sana,nawatafanya/watadai Katiba Yao bila Mbowe na itapatikana,tusikae kuabudu mtu mmoja kama vile hatuna akili
 
Tarehe 4.3.2022 Mbowe na wenzake wataanza kupanda kizimbani kujitetea wakiongozwa na mawakili wao; kisha upande wa mashtaka utapata fursa ya kuwadodosa ( cross examination).

Matumaini yangu ni kuwa wale jamaa wa live update watakuwepo pia na sisi hasa mimi nitatuta vyanzo vingine kuumbua ujamja wao wa kuongeza chumvi zao.
 
Tarehe 4.3.2022 Mbowe na wenzake wataanza kupanda kizimbani kujitetea wakiongozwa na mawakili wao; kisha upande wa mashtaka utapata fursa ya kuwadodosa ( cross examination).
Matumaini yangu ni kuwa wale jamaa wa live update watakuwepo pia na sisi hasa mimi nitatuta vyanzo vingine kuumbua ujamja wao wa kuongeza chumvi zao.
Umbwa
 
Tarehe 4.3.2022 Mbowe na wenzake wataanza kupanda kizimbani kujitetea wakiongozwa na mawakili wao; kisha upande wa mashtaka utapata fursa ya kuwadodosa ( cross examination).
Matumaini yangu ni kuwa wale jamaa wa live update watakuwepo pia na sisi hasa mimi nitatuta vyanzo vingine kuumbua ujamja wao wa kuongeza chumvi zao.
Wenzako wanahaha kutafuta mwanya wa kufuta we unawaza ujinga.
 
Tarehe 4.3.2022 Mbowe na wenzake wataanza kupanda kizimbani kujitetea wakiongozwa na mawakili wao; kisha upande wa mashtaka utapata fursa ya kuwadodosa ( cross examination).
Matumaini yangu ni kuwa wale jamaa wa live update watakuwepo pia na sisi hasa mimi nitatuta vyanzo vingine kuumbua ujamja wao wa kuongeza chumvi zao.
Kazi nzuri
 
Tarehe 4.3.2022 Mbowe na wenzake wataanza kupanda kizimbani kujitetea wakiongozwa na mawakili wao; kisha upande wa mashtaka utapata fursa ya kuwadodosa ( cross examination).
Matumaini yangu ni kuwa wale jamaa wa live update watakuwepo pia na sisi hasa mimi nitatuta vyanzo vingine kuumbua ujamja wao wa kuongeza chumvi zao.
Ugaidi ni kumbambikia mtu kesi ya ugaidi. Kukosa akili kunawasababisha wafuasi wa watawala kuonekana zeros. Ujinga mtupu
 
Tarehe 4.3.2022 Mbowe na wenzake wataanza kupanda kizimbani kujitetea wakiongozwa na mawakili wao; kisha upande wa mashtaka utapata fursa ya kuwadodosa ( cross examination).

Matumaini yangu ni kuwa wale jamaa wa live update watakuwepo pia na sisi hasa mimi nitatuta vyanzo vingine kuumbua ujamja wao wa kuongeza chumvi zao.
Tuliikosa hii fursa.
 
Back
Top Bottom