Mbowe na Slaa sasa yatosha,watanzania hatutaki tena maandamano

wewe ni mpumbavu..nadhani pia wewe ni CCM B..nahisi pia huna ufahamu wa kutosha na siasa za leo,..nafikiri pia hauelewi misingi ya maendeleo,nakushauri ukamsome Carl Marx,Lenin,Pr.Shivji na J.K Nyerere juu ya mitizamo ya maendeleo

usihishi kwa illusions..watanzania tupende kusoma tusije kuhaibika..hauna tofauti na Kikwete asiyejua ni nini kinapelekea taifa hili mbali ya kuwa na utajiri mwingi bado ni maskini

raisi wako miaka 50 sasa ya uhuru bado anadai "ukoloni ndo kii cha umasiki Tanzania"...mbona Rwanda wametoka vitani juzi tu hawashikiki,kwa nini hela ya Kenya inapanda thamani ya Tanzania inazidi kushuka?ama Kenya haikuwahi kutawaliwa..?ama tuseme kenya iliitawala Tanzania?..si nakuuliza?
Ndan ya ccm vimejaa vi-itahwa vingiiiiiiiiii, na ndo vilivokalia ustawi wa TZ,
 
I hope there's someone measuring the success of Maandamano vs investment and time. Unaweza kudhani unajijenga kwa vile hutaki kusikia wengine wanasema nini Unaweza kujikuta unabomoa ,....,
 
Itahwa,
Thanks for the post.
i) Itahwa, ni simple logic tu, unaposema "Watanzania" uliwakusanya wapi kuwazungumzia katika ujumla wao. Hata mtoto wa darasa la kwanza anajua kuwa hhuu ni upotoshwaji.
2) Itahwa, mimi na Mbowe ndio tunaozunguka nchi nzima. Ndio tunaokutana na Wananchi katika mikutano midogo na mikubwa hivyo tuna nafasi kubwa kujua Watanzania wanahitaji nini kuliko wewe.
3) Itahwa, Mbowe na Slaa ni viongozi, angalau wana kura ya Watanzania iwe ndani ya Chama au nje ya Chama jambo lenye kutupa uhalali wa kuwazungumzia "watanzania" Wewe Itahwa, kakupa nani hasa mamlaka hayo. vzinginevyo usijifiche tukufahamu kwa jina lako halisi ili tukujue na kukupima vizuri na kauli zako zisizo na mshiko. Tunahitaji kujua kama kweli unajua maana ya "amani" au unaimba tu kama wimbo, au tukujue kama wewe ni mojawapo wa wanufaika wa ufisadi ambao dhahiri Watanzania walio wengi wameukataa na kuupinga kwa nguvu zao zote. Kama uko Serikalini ni vema ukasoma vizuri ishara za nyakati na kuzitumia ipasavyo na au kushauri mabosi wako inavyohitajika.
4) Vinginevyo kauli zako ni maneno ya upotoshwaji, uchonganishi usio na maana na ni debe tupu.
Mh Slaa nilikuwa nakuheshimu sana,na nakufahamu vilivyo sana na unanifahmu lakini siwezi kujipambanua hapa jukwaani kwasababu za kiitelijensia lakini unataka kuniambia siasa ni maandamano tuu?? mbona kuna njia nyingi sana za kufikisha ujumbe kwa watanzania zaidi ya maandamano? we ni msomi sana(kiwango cha kikanisa) lakini unashindwaje kupambanua mambo? au mnatafuta kupigwa mabomu ili mseme mmeonewa,kimsingi hatuwezi kukubali nchi ikigeuzwa Libya na CHADEMA tutatumia resource zote kulinda amani ya nchi yetu na kudhibiti chokochoko zote
 
ITAHWA
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 23rd March 2011
Posts : 17
Thanks 1 Thanked 1 Time in 1 Post

Rep Power : 0

ACHANENI NA WATCH-DOG!...Katumwa mwenzenu huyu!
 
Hongera kwa kuchangia upupu. Naona rostam amekutuma. Ukitaka kula nyama lazima uchinje na ndiyo ufurahie utamu. Hakuna uhuru bila kafara . Hayo yote watayasababisha ccm. sisi tunasonga mbele. kwa taarifa yako elimu haina uhusiano na upumbavu ila na ujinga. yawezekana wewe ni mpumbavu na upumbavu wako unatokana na baba yako kuwa katibu wa ccm wa maisha. Nimesikia sauti ya rostam na jk na lowwasa inakuita. nenda wakujaze upumbavu utakutana na nguvu ya umma. Go Chadema Go Slaa.
 
Mh Slaa nilikuwa nakuheshimu sana,na nakufahamu vilivyo sana na unanifahmu lakini siwezi kujipambanua hapa jukwaani kwasababu za kiitelijensia lakini unataka kuniambia siasa ni maandamano tuu?? mbona kuna njia nyingi sana za kufikisha ujumbe kwa watanzania zaidi ya maandamano? we ni msomi sana(kiwango cha kikanisa) lakini unashindwaje kupambanua mambo? au mnatafuta kupigwa mabomu ili mseme mmeonewa,kimsingi hatuwezi kukubali nchi ikigeuzwa Libya na CHADEMA tutatumia resource zote kulinda amani ya nchi yetu na kudhibiti chokochoko zote

Mheshimiwa Slaa anajulikana hapa Jamvini,
wewe ni nani?? Resource gani ulizonazo?? Ningependa ungejitambulisha..najua umejiunga jamvini kwa ajili ya hili..Lakini uje na mfano hai wa sehemu yoyote ambayo maandamano yameleta uvunjifu wa amani toka yalipoanza..Please do so ..
 
Mh Slaa nilikuwa nakuheshimu sana,na nakufahamu vilivyo sana na unanifahmu lakini siwezi kujipambanua hapa jukwaani kwasababu za kiitelijensia lakini unataka kuniambia siasa ni maandamano tuu?? mbona kuna njia nyingi sana za kufikisha ujumbe kwa watanzania zaidi ya maandamano? we ni msomi sana(kiwango cha kikanisa) lakini unashindwaje kupambanua mambo? au mnatafuta kupigwa mabomu ili mseme mmeonewa,kimsingi hatuwezi kukubali nchi ikigeuzwa Libya na CHADEMA tutatumia resource zote kulinda amani ya nchi yetu na kudhibiti chokochoko zote

Hayo mabomu na resources unazozitaka kutumia ni kodi za wananchi na ni kinyume na katiba embu nikuulize wewe mwanausalama tueleze chadema imevunja wapi amani katika maandamano yake? au ndio propaganda zenu na hayo mabomu unafikiri yanapigwa ovyo? fuata sheria ya nchi inavyosema wewe usikurupuke kwa vitisho na propaganda za ajabu kama ni amani inaweza kuvunjuka indapo uma utachoka na utawala uliopo madakarakani sio chama umma ndio utaiondoa serikali madarakani na zaidi kwani libya, tunisia or others utawala uliokuwepo uliondolewa na vyama au uma?

Tafakari mtoa mada usiwe mvivu wa kufikiria maandamano ni haki ya kila raia+mkubwa atishiwi nyau
 
Hakika jr imevamiwa na mashabiki pasipo uelewa. Maandamano ya chadema yamewaamsha watendaji wa serikali, wengine wanapishana kwa kauli zao, bei ya sukari nayo imeshuka, mawaziri nao wameanza kuzunguka mitaani kujitetea. Chadema maandamano ni laazima
 
Sio Gaddafi na Wafuasi wake wanaoteseka tu bali hata na hao Wapinzani Walioanzisha Maandamano nao kiyama chao wamekiona na wanaendelea kukiona bali maji waliyavulia nguo hawana budi kuyaoga!

Sasa Libya hakukaliki sio Serikali wala Wapinzani yaani ni vita na mauaji tu! ndio haya mnayoyataka hapa Tanzania?

Unaweza kuwa Umesoma lakini ukawa Mpumbavu!!!
Nyambafu kabisa!!!!

Umesoma historia japo kidogo? Unafahamu utofauti wa Libya na Tanzania?....Acha kurusha matusi na kejeli: weka hoja! Jina lako haliendani na Lugha unazotumia!
 
hayo ni yako.sisi watu wa nyanda za juu kusini tunataka maandamano. tena mh.mbowe usisahau kule kwetu lindi na mtwara ndo tunayataka kabisaaa
 
Mh Slaa nilikuwa nakuheshimu sana,na nakufahamu vilivyo sana na unanifahmu lakini siwezi kujipambanua hapa jukwaani kwasababu za kiitelijensia lakini unataka kuniambia siasa ni maandamano tuu?? mbona kuna njia nyingi sana za kufikisha ujumbe kwa watanzania zaidi ya maandamano? we ni msomi sana(kiwango cha kikanisa) lakini unashindwaje kupambanua mambo? au mnatafuta kupigwa mabomu ili mseme mmeonewa,kimsingi hatuwezi kukubali nchi ikigeuzwa Libya na CHADEMA tutatumia resource zote kulinda amani ya nchi yetu na kudhibiti chokochoko zote

Hebu tuambie wewe Rostam: njia bora ya kukufikishia ujumbe kuwa hatuhitaji watu wa aina yako Tzania ni ipi?:embarassed2:
 
ningeshukuru mungu hayo yatokee tanzania ili tuheshimiane. zubeda si unaona unavyomzarau huyo jirani yako!!!!!!!!!!!!!!! sasa hali ikigeuka utaanza kumpa heshima.
 
watu wengine nashindwa hata kuwashangaa,,unaandika usichokijua wala kukiamini,kwa mujibu wa sheria 5 ya mwaka 1992 chama cha siasa kinaweza kufanya maandamano au mikutano ya hadhara bila kuvunja sheria,na chadema wanatekeleza wajibu wao kama chama cha siasa kwa umma wa Tanzania,sasa wewe ni nani uwasemehe watanzania?kamwe hatutatishwa wala kulagaiwa na yeyote hadi kieleweke
 
kwa heshima na taadhima nawaomba waheshimiwa Mbowe na Slaa kusitisha mipango yao ya maandamano,Tanzania bado inataka hali yake ya amani na utulivu,maandamano mengi yanavunja utulivu na ni kero kwasisi watanzani,nilikuwepo kagera wakati slaa na jopo lake likipita,kwakweli walitujaza maneno machungu sana na kutufanya tuichukie serikali yetu tuliyoiweka madarakani kihalali,hii itatufanya tushindwe kuendelea na uzalishaji wetu kwa kuichukia serikali. maoni yangu ni kuwa maandamo yaliyofanyika yanatosha kwani ujumbe ulishafika lakini kuendelea na maandamano itakuwa ni kuchuana na serikali kitu ambacho si kizuri,siasa ni zaidi ya maandamano kuna mengi sana ya kufanywa na wanasiasa zaidi ya maandamano lakini kuendelea na maandamano itaonekana kuna chokochoko mnazitafuta!

Orodhesha waliyosema unayoona yanavunja amani.
 
Tunahitaji "uchochezi" mara dufu ili tutoke hapa tulipo na si "utulivu". Pale pale tulipowashika tutaendelea hapohapo.:embarassed2:
 
Mh Slaa nilikuwa nakuheshimu sana,na nakufahamu vilivyo sana na unanifahmu lakini siwezi kujipambanua hapa jukwaani kwasababu za kiitelijensia lakini unataka kuniambia siasa ni maandamano tuu?? mbona kuna njia nyingi sana za kufikisha ujumbe kwa watanzania zaidi ya maandamano? we ni msomi sana(kiwango cha kikanisa) lakini unashindwaje kupambanua mambo? au mnatafuta kupigwa mabomu ili mseme mmeonewa,kimsingi hatuwezi kukubali nchi ikigeuzwa Libya na CHADEMA tutatumia resource zote kulinda amani ya nchi yetu na kudhibiti chokochoko zote

Kama unatetea serikali yako na unaimani nayo kwanini ufiche identity yako kwa sababu za intelejensia?

Hoja zako hazina nguvu kwa sababu hata mimi namjua Dr. Slaa, hata mimi naweza sema "tutatumia resources zote kulinda amani".

Toka gizani njoo mwangani kama kweli unaamini unachokitetea.
 
Ukishaona mtu anashupalia Maandamano juwa nia yake ni patokee machafuko halafu aanze kupora maduka na mali za watu majumbani!!! Tumeshawashtukia na mzizi wote wa fitina ni huko ilikoanzishwa CHADEMA mkoani kilimanjaro! yaani kwa uporaji tu watani wangu Wachaga ndio wenyewe! wee angalia popote penye uporaji Mchaga hakosekani! sasa Wanataka kutumia Maandamano ili wapore na kubaka!!

Hatudanganyiki!!!!
 
kwa heshima na taadhima nawaomba waheshimiwa Mbowe na Slaa kusitisha mipango yao ya maandamano,Tanzania bado inataka hali yake ya amani na utulivu,maandamano mengi yanavunja utulivu na ni kero kwasisi watanzani,nilikuwepo kagera wakati slaa na jopo lake likipita,kwakweli walitujaza maneno machungu sana na kutufanya tuichukie serikali yetu tuliyoiweka madarakani kihalali,hii itatufanya tushindwe kuendelea na uzalishaji wetu kwa kuichukia serikali. maoni yangu ni kuwa maandamo yaliyofanyika yanatosha kwani ujumbe ulishafika lakini kuendelea na maandamano itakuwa ni kuchuana na serikali kitu ambacho si kizuri,siasa ni zaidi ya maandamano kuna mengi sana ya kufanywa na wanasiasa zaidi ya maandamano lakini kuendelea na maandamano itaonekana kuna chokochoko mnazitafuta!

If you think you represent Tanzanians you are wrong brother,kama hutaki maandamano usiende we inakuhusu nini
 
Back
Top Bottom