Mbowe na Mnyika jiendelezeni kielimu mpate shahada ya Chuo Kikuu

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Kutokana na fursa za kielimu zilizochochewa na maendeleo ya teknolojia ni aibu kwa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema wote wawili kutokuwa na shahada ya Chuo kikuu.

Kama huna kipaji cha uvumbuzi mfano wa akina Gates,Jack Ma na wengineo ukiwa kiongozi inapendeza angalau uwe na shahada moja ya Chuo kikuu.Miaka ya nyuma kuna rais na waziri Mkuu walipuuzwa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar kwa kutokuwa na shahada moja ya Chuo kikuu.

Nimalize kwa kutoa ushauri kwa Mbowe na Mnyika watumie fursa zilizopo ili angalau wapate shahada ya Chuo kikuu ili wapate ushawishi kwenye jamii ya wasomi.

Shime Chadema chukulieni ushauri huu kwa mtazamo chanya kwa mustakabali wa maendeleo ya Chama.

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa anayoyafanya prof. Macho kodo(mzee wa jalalani) bora wabakie hivyo hivyo tu!! Kwani licha ya elimu zao hizo ndogo wanamzidi uwezo prof. Majalala!! Kwa mbali sanaaa!! Na wengine wengi, mfano ukimsikiliza lema na elimu yake, ukamsikiliza na maprof wengi, wa mlimani utajua lema ndio prof. Kutokana na mawazo yake!!! Au prof pumba si bora ubaki tu na std seven yako?
 
Haya wamesikia ila was uje wakala kama Kabudi na kundi lake waliojitoa Ufahamu na kusaliti taaaluma zao
 
Winston Churchill hakuwa na degree yoyote lkn ndio waziri mkuu bora zaidi kuwahi kutokea UK.

Tuna watu wengi wenye hayo makaratasi "Paper Qualifications" hasa huko kwenu ccm lkn they've nothing to show for those purported academic credentials.

Uongozi hauhitaji hayo makaratasi make hata mfalme Selemani hakuwa nayo lkn ali-perform vizuri tu na hata Dr. Slaa pamoja na kuwa nazo lkn bado mlifika naye bei tu muda ulipowadia lkn akina Mbowe na Mnyika ambao hawana hayo makaratasi wamekataa "Bargain" na kuamua kufia wanachokiamini.

So, paper qualifications do not count for the serious and committed people out to root out tyranny but the zeal and determination.
 
Hiyo elimu ya chuo kikuu ambayo watu wanapata PhD kwa kiingereza lakini hawawezi kuongea hicho kiingereza? Ungewashauri wenye PhD za vyuo vikuu wasiojua kuongea kiingereza warudi wakajifunze kiingereza, tena waende wakati mmoja na huyo Mbowe na Mnyika.
 
Nimeamini kuna watu wanathamini elimu ambazo hazina manufaa kwa jamii.... kwa mfano huyo dr kharib bilal ule udocta wake una ongeza nin chenye tija katika jamii au huyo dr tulia unadhani huo udokta wake wa sheria umeongeza nini katika kuhakikisha bunge wanaleta sheria zenye tija kwa wananchi

Yupi ni bora wanaopata elimu na kuanza kulia lia kama yule alikua mkuu wa mkoa wa morogoro ama wale ambao wanaelimu inayohitajika (resonable education) na wanafanya mambo makubwa

Funga hii ukale kwako ni kwamba wasomi wengi ni viraza na ukimbilia kwenye siasa ili kuficha kadhia yao kwamba elimu yao haina manufaa yoyote wanakimbia majukumu yao ya kisomi na kutaka majukumu yao rahisi
 
Ndugu zangu,

Kutokana na fursa za kielimu zilizochochewa na maendeleo ya teknolojia ni aibu kwa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema wote wawili kutokuwa na shahada ya Chuo kikuu.

Kama huna kipaji cha uvumbuzi mfano wa akina Gates,Jack Ma na wengineo ukiwa kiongozi inapendeza angalau uwe na shahada moja ya Chuo kikuu.Miaka ya nyuma kuna rais na waziri Mkuu walipuuzwa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar kwa kutokuwa na shahada moja ya Chuo kikuu.

Nimalize kwa kutoa ushauri kwa Mbowe na Mnyika watumie fursa zilizopo ili angalau wapate shahada ya Chuo kikuu ili wapate ushawishi kwenye jamii ya wasomi.

Shime Chadema chukulieni ushauri huu kwa mtazamo chanya kwa mustakabali wa maendeleo ya Chama.

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu kama unadigrii kwa mawazo haya bora ungebaki na cheti chako cha form six , naamini digrii imekutoa ufahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Kutokana na fursa za kielimu zilizochochewa na maendeleo ya teknolojia ni aibu kwa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema wote wawili kutokuwa na shahada ya Chuo kikuu.

Kama huna kipaji cha uvumbuzi mfano wa akina Gates,Jack Ma na wengineo ukiwa kiongozi inapendeza angalau uwe na shahada moja ya Chuo kikuu.Miaka ya nyuma kuna rais na waziri Mkuu walipuuzwa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar kwa kutokuwa na shahada moja ya Chuo kikuu.

Nimalize kwa kutoa ushauri kwa Mbowe na Mnyika watumie fursa zilizopo ili angalau wapate shahada ya Chuo kikuu ili wapate ushawishi kwenye jamii ya wasomi.

Shime Chadema chukulieni ushauri huu kwa mtazamo chanya kwa mustakabali wa maendeleo ya Chama.

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli elimu ni muhimu lakini ina faida gani kwa mtu aina ya Majalala na PhD yake?
John Major, mmoja wa mawaziri wakuu wa Uingereza hakuwa na shahada ya Chuo Kikuu.
 
Ndugu zangu,

Kutokana na fursa za kielimu zilizochochewa na maendeleo ya teknolojia ni aibu kwa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema wote wawili kutokuwa na shahada ya Chuo kikuu.

Kama huna kipaji cha uvumbuzi mfano wa akina Gates,Jack Ma na wengineo ukiwa kiongozi inapendeza angalau uwe na shahada moja ya Chuo kikuu.Miaka ya nyuma kuna rais na waziri Mkuu walipuuzwa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar kwa kutokuwa na shahada moja ya Chuo kikuu.

Nimalize kwa kutoa ushauri kwa Mbowe na Mnyika watumie fursa zilizopo ili angalau wapate shahada ya Chuo kikuu ili wapate ushawishi kwenye jamii ya wasomi.

Shime Chadema chukulieni ushauri huu kwa mtazamo chanya kwa mustakabali wa maendeleo ya Chama.

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app

Everytime fools like you forget Mnyika got all straight nine A’s elimu ya O’Level wewe uliyofeli kwa Division 0!

Elimu cant offer him nothing
 
Ndugu zangu,

Kutokana na fursa za kielimu zilizochochewa na maendeleo ya teknolojia ni aibu kwa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema wote wawili kutokuwa na shahada ya Chuo kikuu.

Kama huna kipaji cha uvumbuzi mfano wa akina Gates,Jack Ma na wengineo ukiwa kiongozi inapendeza angalau uwe na shahada moja ya Chuo kikuu.Miaka ya nyuma kuna rais na waziri Mkuu walipuuzwa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar kwa kutokuwa na shahada moja ya Chuo kikuu.

Nimalize kwa kutoa ushauri kwa Mbowe na Mnyika watumie fursa zilizopo ili angalau wapate shahada ya Chuo kikuu ili wapate ushawishi kwenye jamii ya wasomi.

Shime Chadema chukulieni ushauri huu kwa mtazamo chanya kwa mustakabali wa maendeleo ya Chama.

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
Uongozi wa siasa ni kipaji cha ushawishi, wanaofanya vizuri kwenye siasa za ushawishi wa makundi ya watu ni wale wasio na digrii, hebu wewe mwenye digrii umeweza kulishawishi kundi gani. Ulianza kwenye uenyekiti wa Mbowe sasa umehamia kwenye digrii!
 
Back
Top Bottom