Mbowe na Mbatia wamewahujumu Wabunge wa Upinzani

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,486
Enyi wabunge wa Ukawa, tambueni majimboni kwa Mbowe na Mbatia hakuna matatizo kama majimboni mwenu.

Ni bora kuhama chama kuliko kushindwa kuwawakilisha wananchi wenu kwa kufuata mashinikizo ya hao watu wawili na Ukawa yao.

Majimboni kwao kuna maji, umeme, hospitali kubwa, barabara, n.k huwezi kulinganisha na Singida, Longido, Simanjiro, Monduli, n.k. Jitafakarini upya mnahujumiwa na viongozi wenu.
 
Enyi wabunge wa Ukawa, tambueni majimboni kwa Mbowe na Mbatia hakuna matatizo kama majimboni mwenu. Ni bora kuhama chama kuliko kushindwa kuwawakilisha wananchi wenu kwa kufuata mashinikizo ya hao watu wawili na Ukawa yao. Majimboni kwao kuna maji, umeme, hospitali kubwa, barabara, n.k huwezi kulinganisha na Singida, Longido, Simanjiro, Monduli, n.k. Jitafakarini upya mnahujumiwa na viongozi wenu.
Hii post lumumba unapata hela sasa hivi tena keshi wala haukopwi.
 
Hawa wa ndiyooo kila kukicha majimboni kwao kupo vzuri?
Tafakari kabla hujapost kitu.!
 
Enyi wabunge wa Ukawa, tambueni majimboni kwa Mbowe na Mbatia hakuna matatizo kama majimboni mwenu. Ni bora kuhama chama kuliko kushindwa kuwawakilisha wananchi wenu kwa kufuata mashinikizo ya hao watu wawili na Ukawa yao. Majimboni kwao kuna maji, umeme, hospitali kubwa, barabara, n.k huwezi kulinganisha na Singida, Longido, Simanjiro, Monduli, n.k. Jitafakarini upya mnahujumiwa na viongozi wenu.
Huo ndio upeo wa akili zako,ni heri wabunge walio amua kujikalia nje kuliko waliobakia bungeni kuomba viwanda vya kutengeneza madera
 
Wananchi tunahasira nao sana . 2020 tunavyeka wabunge wa ufipa wote.

Hatuwezi kuwa na wabunge ambao kazi yao ni kunywa chai kwenye Viwanja Vya bunge
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom