jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,515
Siko Dar.Unaelekeza wao waongezeke wewe ukiwa ficho unaendelea na shughuli zako. kwanini usiongezeke wewe? Nimekubali "Wahuni sio watu."
Siko Dar.Unaelekeza wao waongezeke wewe ukiwa ficho unaendelea na shughuli zako. kwanini usiongezeke wewe? Nimekubali "Wahuni sio watu."
Tutawaletea matukio kutoka mahakamani moja kwa moja
--------------
Update
Polisi wameanza kuwakamada wanachama wa Chama wa Chadema wanaokuja kusikiliza hukumu ya Dhamaba ya Mhe. Mbowe na Mhe. Matiko
Kukichwa kutambazukaTutawaletea matukio kutoka mahakamani moja kwa moja
--------------
Update
Polisi wameanza kuwakamada wanachama wa Chama wa Chadema wanaokuja kusikiliza hukumu ya Dhamaba ya Mhe. Mbowe na Mhe. Matiko
Tupeni updates hapa
Lakin nadhani Mbowe anaweza hasitoke leo ama Kesi kuhairishwa au kunyimwa
Dhamana, lakin mimi kama mimi namtaka mbowe mtaani aje tuone anaongeza nguvu gani katika harakati za kukemea baadhi ya mambo akiwa na Lissu,
Pia namshauri asidharau mahakama
Unaelekeza wao waongezeke wewe ukiwa ficho unaendelea na shughuli zako. kwanini usiongezeke wewe? Nimekubali "Wahuni sio watu."
Huku nilipo wakati wangu utafika pia. Hapo Dar wapo wa kutosha. Umesahau hata meya wa jiji ni chadema?
Wewe unadhani wafugwa wako gerezani kama badge of pride!Kumbe waliwekwa kufundishwa adabu?
Mwisho wa kuumbuka kwenu mnakuwa waropokaji sana
Sent using Jamii Forums mobile app
wanachama wanajazana mahakamani kuleta vurugu tu, kesi inahitaji parties yaani mlalamikaji,mshitakiwa na mashahidiTutawaletea matukio kutoka mahakamani moja kwa moja
--------------
Update
Polisi wameanza kuwakamada wanachama wa Chama wa Chadema wanaokuja kusikiliza hukumu ya Dhamaba ya Mhe. Mbowe na Mhe. Matiko
Walikupa idadi yao au mitandao inakudanganya babu?..hamjui kama nyie chadema ni mashabiki mtandao?Huku nilipo wakati wangu utafika pia. Hapo Dar wapo wa kutosha. Umesahau hata meya wa jiji ni chadema?
ushauri mzuri sana hebu tangulia wewe halafu wenzio wakufuate mkawe wengi watakosa pa kuwaweka halafu watawaachia tu mkuuKama wanawakamata, inabidi muongezeke ili wakose mahali pa kuwaweka.
Nenda na wewe mkuuKama wanawakamata, inabidi muongezeke ili wakose mahali pa kuwaweka.
Toka Lissu aponee kifo kwa risasi 16, there should not be any excuse for supporters to play their part.