leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,585
- 3,179
Kimantiki maelezo ya mh, Mbowe wakati akitoa msimamo wa chama cha CHADEMA kuhusiana na kusimamishwa kwa mgombea wa kiti cha urais wa chama hicho mh, Tundu Lisu na kamati ya maadiri ya tume ya taifa ya uchaguzi, Mbowe amevirushia dongo vyama ambavyo viliunga mkono kusimamishwa kwa mgombea wa chama hicho kuwa ni vyama mamuruki vya CCM. Zipo sababu kadhaa zinazonifanya nipingane kidogo na kauri hiyo:
Naamini kwa kiwango furani kuwa ACT,CHAUMA NA CHADEMA yenyewe ndio vyama vilivyo pinga uamuzi huo mnataka kuniambia kuwa hawa wengine wote ni mamruki? ruksa povu
Mrema na Cheyo waomba CHADEMA ifutwe
- Mh, Mbowe hana sababu za msingi kudhani kuwa wote waliopiga kura dhidi ya chama chake ni mamuruki,walichoangalia ni kutendeka kwa kosa au la.
- Kutochukuliwa hatua kwa makosa yanayotendwa na mgombea kupitia CCM, yanayofanana na hayo au mengine yanayo katazwa na sheria ya vyama au na Maadiri.
- Tangazo la chama chake kuunga mkono chama cha ACT kwenye kinyang'anyilo cha Zanzibar hilo limedhihirisha kuwa kuungana mkono sio umamuruki.
Naamini kwa kiwango furani kuwa ACT,CHAUMA NA CHADEMA yenyewe ndio vyama vilivyo pinga uamuzi huo mnataka kuniambia kuwa hawa wengine wote ni mamruki? ruksa povu
Mrema na Cheyo waomba CHADEMA ifutwe