nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 517
Upinzani upo sasa Kama chama tawala hakiwezi kutumia vijana wake ambao ndio wenye tabia za kina sabaya inabidi wanunue VIJANA wazuri walioivishwa na mwamba mbowe nae hana uwezo wa kuwazuia wanatafuta maslahiProf wa siasa zipi? iweje awaandale wapinzani wake viongozi? Kama ni hivyo ina maana hatuna upinzani wa kweli. Sema hao vijana wenyewe si waaminifu kwa chama chao